Tatizo kubwa la nchi hii lina azia kwenye maadili, hapa ndio mzizi wa fitina ulipo.Bado tupo nyuma sana katika kujielewa kwan sisi waTanzania Tulilogwa huko nyuma na Zaid Tukalogwa na wanaotuongoz wakiwa tayar wamelogwa
Kuna Yule alisema
Ukiw na akili Timamu kuish Tzs ni ovyooo [emoji2][emoji81][emoji847][emoji613]
Prof Maluma hapaswi Kulaumiwa kabisa, Binafsi namuelewa sana shida ni Mkataba ambao unamlazimu autetee kwa Vifungu kinzani ambavyo vinazidi Nguvu ya Mkataba wake hata ungekuwa wewe ungefanyaje apo.
Tunapaswa Kumpongeza kwa Ujasiri na Uimara wake kuendelea Kutetea na Kusimamia Misimamo ya Kulitetea Taifa letu na Rasilimali zetu.
Hao wazungu ni wahuni sana na Washenzi sana tunapaswa kuwapa Nguvu wausi wenzetu na kuwatia Moyo ili wakabiliane na Wahuni wa Dunia.
Mikataba ya Mataifa na Makampuni Makubwa yakija huja na Mbinu Nyingi za Mikataba ili Kunyonya Mataifa ya Africa, Hivyo Tunapopata watetezi kwenye Mikataba hiyo ni vyema kuwatia Moyo na kuwapa Nguvu zaidi yakuendelea kuwa wazalendo kwa Taifa lao.
Tuache kuwabeza watu wetu.
Ebwana ehhHa
Ta joho alilowahi kuvaa hajui linapigwaje pasi!
Ona hili dubwana,ukute nae ana familia anaiongozaNje ya maada: Tuendelee kukubali misaada ya Kuruani za bure kutoka Uarabuni labda zitasaidia uchumi wetu, maana hamna mchango wowote kutoka Nchi za Kiarabu zaidi ya Kuruani za bure.
Nimemsamehe Yule Prof aliyesema ameokotwa majalalanNa ni Prof wa chuo ambacho huwa kina jigamba kuwa na Wanafunzi vipanga [emoji23]
Yule mzee kabudi aliongea ukweli sema kwa nyakati zile hakuna aliye muelewa lakini sasa ni dhahiri matokeo ya maneno yake yana kuwa bayana pasi kuacha shakaNimemsamehe Yule Prof aliyesema ameokotwa majalalan
[emoji1787]Proffessor Maruma ametetemeshwa na wasomi wenziwe huko duniani hadi anasikitisha.
Amelowa!
Na Tanzania kiuchumi tunapigwa kisawasawa, tumepambana na Economic Hit Men.
Wasomi wengine mlioko Tanzania , Msukuma PhD, Babu Tale(PhD) hebu mjitokeze mkamwage razi huko duniani, pengine ninyi mtaeleweka.
Masikini wasomi wa Tanzania, hasara tupu.
Sasa ki nchi ndio tutajifunza kuheshimu si tu elimu bali umakini, experience na proffessionalim katika fani zote za uchumi.
La kusema kwamba , limeamuliwa na msimamo wa chama matokeo yake tunayaona tungali hai.
Mruma alienda kwenye shauri nyeti bila kujiandaa, alionekana wazi kushitukizwa na maswali rahisi yaliyomchanganya. Kwa ujumla amejidharirisha yeye binafsi na chuo chake. Kuhusu kupigwa, ni sawa tu kwani mfumo wa kipigaji tuliojijengea ndio matokeo yake haya....Aibu! 😭Proffessor Maruma ametetemeshwa na wasomi wenziwe huko duniani hadi anasikitisha.
Amelowa!
Na Tanzania kiuchumi tunapigwa kisawasawa, tumepambana na Economic Hit Men.
Wasomi wengine mlioko Tanzania , Msukuma PhD, Babu Tale(PhD) hebu mjitokeze mkamwage razi huko duniani, pengine ninyi mtaeleweka.
Masikini wasomi wa Tanzania, hasara tupu.
Sasa ki nchi ndio tutajifunza kuheshimu si tu elimu bali umakini, experience na proffessionalim katika fani zote za uchumi.
La kusema kwamba , limeamuliwa na msimamo wa chama matokeo yake tunayaona tungali hai.
Hata kama mkataba ni mbovu,Ila Prof Mruma na wenzie wametia aibu Sana,tusilaumu Beberu, tulaumu watu wetu wajinga wanaopokea rushwa na kukubali mikataba ya kibwege.
UKWELI MCHUNGU NI KWAMBA,KINACHOTAFUTWA MAISHANI NI PESA.MSUKUMA ANAZO.Msukuma ataishia kusema mm tajiri
Nna ma apartment nna ma vx
Tu
Ova
Hata kama mkataba ni mbovu,Ila Prof Mruma na wenzie wametia aibu Sana,
Kwanza wanasheria wetu wakati wana fanya crossexamination, wali kuwa wana maswali mazuri,lakini walikuwa wanauliza kama wanaogopa, unamuuliza shahidi kama una mbembeleza! Lugha imewapiga chenga Sana,
Prof Mruma ndio alitia fora, amepigwa maswali kujibu hawezi, anaonekana kama amekurupushwa usingizini, akabaki ana gonga meza na peni kama kadem kanatongozwa, anavua miwani ana vaa, kama teja vile
Kuna Malaya wa kimataifa wana pesa , na wanatembezwa hadi kwa Wafalme,UKWELI MCHUNGU NI KWAMBA,KINACHOTAFUTWA MAISHANI NI PESA.MSUKUMA ANAZO.
Kwa hiyo dhumuni la maisha ni kutafuta pesa?UKWELI MCHUNGU NI KWAMBA,KINACHOTAFUTWA MAISHANI NI PESA.MSUKUMA ANAZO.