ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Sawa sawa ili wakukule vizuriWacha waingie hawa majizi wa msoga, kuliko yale majizi wauaji wa sukuma gang.
Yaani wapwani watupu wamejazana.Nchi hii iko kwa shetani haswa.Mwenyekiti - samia suluhu hassan
makamu mwenyekiti/bara - Abdulrahmani kinana
makamu m/kiti visiwani - hussein ally mwinyi/ally mohamed shain
Katibu mwenezi shaka hamdu shaka
Katibu mkuu - Daniel chongolo
Naibu katibu mkuu Alhaji ?????
Kwani "itikadi" ni nini mkuu?Kwenye uongozi kuna wakati sio rahisi kuelewana itikadi, na hii inatokea pale unapohudumia awamu zaidi ya moja kwa Viongozi wakuu tofauti. Ngoja mzee akapumzike
CCM ni ile ile, Je lini ilikuwa Tofauti?Recycling old tired stuffs. CCM kwa sasa hakina maono, umakini, utashi, mikakati ya kusaidia na kuwazesha Watanzania.
kwa Mkapa alikuwa katibu mkuu kwa miaka 10.Siyo 10 huyu mzee pia alikuwa Vice Chairman kwa Marehemu Mkapa ni hazina ambayo Ccm yenyewe inamtegemea kiukweli,japo yule Nyoka (Shetani) alitakaga kumuuma mzee wa Watu🤣🤣🤣🤣
Hamia Burundi...Watz ni wapumbavu Mungu hawezi kushughulika nao tena
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Mr shaka , mwenezi wa ccm,
Riziwani kikwete
January makamba
Wazuri wa viwanda na uwekezaji
Waxiri wa kilimo na mifugo
Naibu spika
Wanasemaga kwenye siasa hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu !! Lakini kwa Tz ! Mmh !Sijui watatazamana vipi na Bashiru ally hapo lumumba???? Mungu fundi nyie
Wapinzani sasa tujipange vzr,kama huyu mzee abdrahaman karudi tenaMama urais umeshamnogea, kaanza kuoanga majeshi mapema kabisa
Wanasiasa huwa hawana KUSTAAFU.Ni mzee acha apumzike
huyu Bwana aliachwa kipindi cha Kikwete. Si mzungumzaji sana. ni mtu mkimya asiyependa makeke.. ila wanasema ni mwenye msimamo sana. alipoachwa/acha nafasi ya ukatibu mkuu akarudi zake Iringa kwenda Kulima.... akawa Mkulima humsikii.. Alipokuja Magufuli akaenda mchukua huko Iringa... akawa naye katika Uongozi... zikaja habari za kuwa aliwekewa sumu....
1. nani alitaka kumuua?
2. kwa nini?
amekuja Samia Suluhu ni wazi ameona amrudishe Kinana ambaye alikuwepo wakati wa Kikwete ... huyu ni Mzee wa Meno ya Ndovu. ni mtu poa sana. mi nimefurahi kurudishwa kundini.
JE NINI UKWELI KUHUSIANA NA MANGULA. KUNA NINI NYUMA YAKE?
oohh...issue ilikuwa ni hawa hawa akina kinana? ndo wamerudishwa tena kuchukua nafasi yake? hizi siasa zina mambo yake aiseeeeeeeIla utakuwa umesahau mambo kumhusu mzee Mangula. Iringa hakutulia bali aligombea kila cheo huko hadi balozi nyumba kumi. Vyeo vyao hivyo aliliwa kichwa na wanaume.
Huyo ndiye mzee Mangula aliyepewa sumu kwenye songombingo la kuwala vichwa kina Kinana.
Limejipanga sio mchezo. Wanashukuru kifo cha JPMWamebakiza wizara chache na JWTZ wachukue serikali 100%.
Hili genge limejipanga.
Subiri 2025 utajua hujui!
Ccm ina wadharau sana, si unaona hata baada ya kelele zenu za miaka nenda rudi kwamba kina kinana hawafai lakini bado wamerudishwa chamani, hii yote ni kuonesha kuwa hamna la kufanya!
Na hivi mmeungana na ccm kumsifia Samia ili kumkomoa marehemu,! Ccm 2025 itakuwa na kazi nyepesi sana.
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo Mangula hatakiwi kustaafu. Ni mpaka AFIE madarakani?Mangula aliwahi kutolewa kwenye nafasi hiyo, baadae Tena wakaenda kumuangukia arudi.
Jiwe lilishainuka likakataliwa,kazi iendelee