Philip Mangula ang'atuka nafasi ya Umakamu Mwenyekiti CCM Taifa. Abdulrahman Kinana apendekezwa na Halmashauri Kuu kuchukua nafasi yake

Ww huna uelewa wa historia mangula alikuwa ni ktb mkuu wakati wa mkapa awamu ya kwanza ya jk akuwepo awamu ya Pili ndipo jk akampa umakamu wa mwenyekiti nafasi aliendelea nayo kwa magufuli adi leo
 
Mzee aliupiga mwingi wakati ule 2015 ccm imechafuka kweli kweli hata wendawazimu hawatak kuisikia,mzee akazunguka nchi nzima akatuliza hali ya hewa.

Baada ya kuhitimisha kampeni akaona Diamond anapewa bil 1,yeye hakupata kitu,akaona afanye aliyoyafanya na yeye akachota za kwake kutoka hazina ya chama,mwendazake aligundua na akamchukia sana,likawa bifu
 
Naye Bernad Membe amerudi kundini. WITHER SUKUMA GANG.

Mungu Ibariki Tanzania, siasa za chuki zimeshindwa
Kweli kabisa.

Sasa tutafute msemo unaoendana na hizi siasa za sasa: Tuziite "Siasa za Ujanja ujanja"! Sijui kama hili lina 'rhyme' vizuri!

Hata hivyo, tofauti yake ni nini hasa kati ya hizo siasa mbili. Matokeo yake yatakuwa ni tofauti?
 
Vijana wa mwendazake mnateseka na mtateseka sana. Mliambiwa msishindane na watoto wa mjini hamkusikia. Angalia sasa wote mmerudishwa Sitimbi
 
Kwahiyo Mangula hatakiwi kustaafu. Ni mpaka AFIE madarakani?

Hii NCHI, wanasiasa Ni tatizo. Ila wafuasi wa wanasiasa wote Ni tatizo kubwa mnoo

Kwani Kinana umri gani na Mangula umri gani?

Angalizo: Usishangae kijeba akiwa Kinana ndugu.
 

Ni kweli ila hawakufikia ushenzi wa Magu. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika
 
Ni kweli ila hawakufikia ushenzi wa Magu. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika
Sana!
.
Si unaona sasa hivi mungu wenu anavyowatendea haki?

Hadi magaidi yakiwekwa ndani na baadae kutolewa kwenda kuomba msamaha!

Yule kiongozi muovu alilea sana magaidi

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Haitegemei kushinda kura kihalali kwani dhalimu wenu bado yupo?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…