KILE KILIKUWA KIKAO MAALUM NA SI TAMASHA..ILIKUWA NI NGUMU KWA WAO KUKUTANA PAMOJA KM VILELile tamasha la kumbukizi ya kifo cha hayati Moses Nnauye pale Diamond Jubilee lilikuwa linatuma ujumbe mzito sana...kumbuka waliokuwa wasemaji wakuu.....
Mangula ameachia nafasi ya umakamu mwenyekiti CCM, kaona isiwe tabu.
Ila hii Ni Mara ya Pili mzee anawekwa pembeni, sijajua ana tatizo gani na wenzio huko.
Nafasi imechukuliwa na Kinana
Membe karudishwa CCM
===
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula leo Alhamisi Machi 31, 2022 amewasilisha katika Halmashauri Kuu ya CCM barua ya kuachia nafasi hiyo.
Kikao Cha Halmashauri Kuu ya CCM kimependekeza jina la Katibu Mkuu wa zamani Abdulrahman Kinana kuteuliwa kupigiwa kura za kuwa Makamu Mwenyekiti CCM Bara ambapo atachukua nafasi ya Philip Mangula.
Kikao hicho kimefanyika leo 31 Machi 2022 Jijini Dodoma.
Pia soma;
1). Nashauri Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula ang'atuke na akabidhi mikoba kwa Abdulrahman Kinana
2). Ukatibu Mkuu CCM: Nani anafaa kuchukua nafasi ya Daniel Chongolo? Kinana ndani
View attachment 2170306
Alisikika Mataga mmoja
Hapana Mangula hakuwahi kuwa Makamu mwenyekiti. Alikuwa katibu mkuu kuanzia wakati wa Mkapa hadi Kikwete awamu ya kwanza.Mangula aliwahi kutolewa kwenye nafasi hiyo, baadae Tena wakaenda kumuangukia arudi.
Afadhali!Mangula ameachia nafasi ya umakamu mwenyekiti CCM, kaona isiwe tabu.
Ila hii Ni Mara ya Pili mzee anawekwa pembeni, sijajua ana tatizo gani na wenzio huko.
Nafasi imechukuliwa na Kinana
Membe karudishwa CCM
===
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula leo Alhamisi Machi 31, 2022 amewasilisha katika Halmashauri Kuu ya CCM barua ya kuachia nafasi hiyo.
Kikao Cha Halmashauri Kuu ya CCM kimependekeza jina la Katibu Mkuu wa zamani Abdulrahman Kinana kuteuliwa kupigiwa kura za kuwa Makamu Mwenyekiti CCM Bara ambapo atachukua nafasi ya Philip Mangula.
Kikao hicho kimefanyika leo 31 Machi 2022 Jijini Dodoma.
Pia soma;
1). Nashauri Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula ang'atuke na akabidhi mikoba kwa Abdulrahman Kinana
2). Ukatibu Mkuu CCM: Nani anafaa kuchukua nafasi ya Daniel Chongolo? Kinana ndani
View attachment 2170306
Niko shule ya Msingi nasoma darasa la 5, Mh. Mangula alikuwa Mkuu wa Wilaya yetu ya Kwimba na tuliwahi kumwalika kwenye kata yetu kama mgeni rasmi kwenye sikukuu ya Sabasaba. Alikuja akiwa amevaa kombati za JWTZ. Wengi wasichokijua ni kwamba Mangula pia ni mwanajeshi wa JWTZ, ila wengi hawajui hiloMiaka 81 amelitumikia taifa kwa kutukuka
Sasa Chadema huu ndo muda wenu wa kushine kama mtakuwa na akili. Nendeni kwa wananchi mjijenge. Maana ukweli sasa hii iliyopo ni serikali ya kufavor matajiri ambao ni minority hapa Tanzania.
Dkt Bashiru sijui anajisikiaje hapo alipo. Kwani wale aliowatuhumu kuwa walikuwa ni wabadhirifu na kujitwalia kiholela mali za chama ndiyo hao hao sasa wanarudishwa katika nafasi nyeti ndani ya chama na kuwa ndiyo mabosi zake.Mangula ameachia nafasi ya umakamu mwenyekiti CCM, kaona isiwe tabu.
Ila hii Ni Mara ya Pili mzee anawekwa pembeni, sijajua ana tatizo gani na wenzio huko.
Nafasi imechukuliwa na Kinana
Membe karudishwa CCM
===
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula leo Alhamisi Machi 31, 2022 amewasilisha katika Halmashauri Kuu ya CCM barua ya kuachia nafasi hiyo.
Kikao Cha Halmashauri Kuu ya CCM kimependekeza jina la Katibu Mkuu wa zamani Abdulrahman Kinana kuteuliwa kupigiwa kura za kuwa Makamu Mwenyekiti CCM Bara ambapo atachukua nafasi ya Philip Mangula.
Kikao hicho kimefanyika leo 31 Machi 2022 Jijini Dodoma.
Pia soma;
1). Nashauri Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula ang'atuke na akabidhi mikoba kwa Abdulrahman Kinana
2). Ukatibu Mkuu CCM: Nani anafaa kuchukua nafasi ya Daniel Chongolo? Kinana ndani
View attachment 2170306
Bado Ngeleja, Mhongo na yule baba aliekata mauno na askari akiwa waziri wa mambo za ndani...🤣Bado nani kutoka kwenye team ya zamani hajapata uteuzi?
Timu Msoga wanarudia ya 2005 kumuondoa Mzee Mangula,Maji yalipozidi unga JK ikabidi amtafute Mzee Mangula.Mama naona kama amezidiwa kete na Msoga.