Hivi Musiba atakuwa na hali gani?Wote aliowachambua na kusema maovu yao wamerudi serikalini. Kuanzia January,Nape na sasa Kinana bila kumsahau Membe.
Kinana ni kijana?
Acha tu afukuzwe. Alimfanyia mizengwe, fitina,majungu na vituko Rais w mioyo yetu Lowasa.Mangula ameachia nafasi ya umakamu mwenyekiti CCM, kaona isiwe tabu.
Ila hii Ni Mara ya Pili mzee anawekwa pembeni, sijajua ana tatizo gani na wenzio huko.
Nafasi imechukuliwa na Kinana
Membe karudishwa CCM
===
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula leo Alhamisi Machi 31, 2022 amewasilisha katika Halmashauri Kuu ya CCM barua ya kuachia nafasi hiyo.
Kikao Cha Halmashauri Kuu ya CCM kimependekeza jina la Katibu Mkuu wa zamani Abdulrahman Kinana kuteuliwa kupigiwa kura za kuwa Makamu Mwenyekiti CCM Bara ambapo atachukua nafasi ya Philip Mangula.
Kikao hicho kimefanyika leo 31 Machi 2022 Jijini Dodoma.
Pia soma;
1). Nashauri Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula ang'atuke na akabidhi mikoba kwa Abdulrahman Kinana
2). Ukatibu Mkuu CCM: Nani anafaa kuchukua nafasi ya Daniel Chongolo? Kinana ndani
Hata CHADEMA wameshazeeka.Ugonjwa mkubwa ndani ya CCM ni kuchagua wazee. Kinana ni mzee ataweza mbio za cdm kwa sasa?
Wameshindwa kulea uvccm iwape viongozi kama akina Nchimbi acha walinywe. Yaani unakuta eti makonda na sabaya ndio silaha za uvccm. Hapo lazima wazee waingieUgonjwa mkubwa ndani ya CCM ni kuchagua wazee. Kinana ni mzee ataweza mbio za cdm kwa sasa?
Kale hakajijui kapo kupiga kelele humuKuna kajamaa kanaitwa Crimea nadhani katakuwa kashaanza kuelewa nini maana ya wenye chama chao...
Ugonjwa mkubwa ndani ya CCM ni kuchagua wazee. Kinana ni mzee ataweza mbio za cdm kwa sasa?
Mafisadi yote yamerudiMangula ameachia nafasi ya umakamu mwenyekiti CCM, kaona isiwe tabu.
Ila hii Ni Mara ya Pili mzee anawekwa pembeni, sijajua ana tatizo gani na wenzio huko.
Nafasi imechukuliwa na Kinana
Membe karudishwa CCM
===
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula leo Alhamisi Machi 31, 2022 amewasilisha katika Halmashauri Kuu ya CCM barua ya kuachia nafasi hiyo.
Kikao Cha Halmashauri Kuu ya CCM kimependekeza jina la Katibu Mkuu wa zamani Abdulrahman Kinana kuteuliwa kupigiwa kura za kuwa Makamu Mwenyekiti CCM Bara ambapo atachukua nafasi ya Philip Mangula.
Kikao hicho kimefanyika leo 31 Machi 2022 Jijini Dodoma.
Pia soma;
1). Nashauri Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula ang'atuke na akabidhi mikoba kwa Abdulrahman Kinana
2). Ukatibu Mkuu CCM: Nani anafaa kuchukua nafasi ya Daniel Chongolo? Kinana ndani
Ametosha asee hawa watu wamekula sn nchiKwenye uongozi kuna wakati sio rahisi kuelewana itikadi, na hii inatokea pale unapohudumia awamu zaidi ya moja kwa Viongozi wakuu tofauti. Ngoja mzee akapumzike
Mkuu usimmbeze nae ni kiumbe hai!!kinachafata hapo ni kuambiwa Mama jeshi Hakuna imani na Wewe!!Kutoka kwenye fikra zako kwenda kwa masikio ya Muumba, na iwe hivyo
Mafisadi yote yamerudi
Utakula hayo maandamano yako?Mafisadi huwa yana demokrasia sana yanaiba ila yanakuachia uhuru wa kuyasema
Yanaruhusu mikutano ya hadhara na maandamano
Huyu ana mawazo ya kijima, aondoke tu, tunahitaji watu wanaoweza kwenda na usasaMangula ameachia nafasi ya umakamu mwenyekiti CCM, kaona isiwe tabu.
Ila hii Ni Mara ya Pili mzee anawekwa pembeni, sijajua ana tatizo gani na wenzio huko.
Nafasi imechukuliwa na Kinana
Membe karudishwa CCM
===
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula leo Alhamisi Machi 31, 2022 amewasilisha katika Halmashauri Kuu ya CCM barua ya kuachia nafasi hiyo.
Kikao Cha Halmashauri Kuu ya CCM kimependekeza jina la Katibu Mkuu wa zamani Abdulrahman Kinana kuteuliwa kupigiwa kura za kuwa Makamu Mwenyekiti CCM Bara ambapo atachukua nafasi ya Philip Mangula.
Kikao hicho kimefanyika leo 31 Machi 2022 Jijini Dodoma.
Pia soma;
1). Nashauri Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula ang'atuke na akabidhi mikoba kwa Abdulrahman Kinana
2). Ukatibu Mkuu CCM: Nani anafaa kuchukua nafasi ya Daniel Chongolo? Kinana ndani
CCM kwa nini mpaka Leo inadunda.? Mbali na matatizo yooote waliyotuletea?Aje Huku tuendelee kuchunga ng'ombe zetu...
Kabsaaa naunga nkonoo 100% ...manake sio kwa kukoswa koswa kule ili hali ashakitumikia chama miaka mingi..halafu vijana wadogoo wakatumwa kufanya yaooNi mzee acha apumzike