Phillip mulugo ndani ya dk 45 itv right now

Phillip mulugo ndani ya dk 45 itv right now

structuralist

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,230
Reaction score
907
Wadau naibu waziri wa elimu mh Philip mulugo yupo ndani ya kipindi cha dk 45, huku mtangazaji akimpiga maswali mazito. Moja ya hoja alizokuja nazo ni ''bridging course'' iatakayo wawezesha form 6 leavers waliopata SSS katika michipuo ya sanyansi kusoma miezi 3, kasha kwenda na kujiunga na wale watakaokuwa tayari wameshajiunga na diploma ya elimu.
 
Back
Top Bottom