Mtaule mgunda
Senior Member
- Jan 25, 2014
- 193
- 61
Mateso yamezidi nachoka, pole mamaa kwa tabu unazozipata[emoji444][emoji444][emoji445][emoji445][emoji445] by Marijani RajabuKuna watu wanadiriki kumfananisha mayele na jeneral phiri,mayele ni striker na phiri ni winga,phiri kupambana na mayele kwa idadi ya goli ni heshima sana kwake.
Umepatwa na nini! Mbona kama unaongea peke yako barabarani!!!Kuna watu wanadiriki kumfananisha mayele na jeneral phiri,mayele ni striker na phiri ni winga,phiri kupambana na mayele kwa idadi ya goli ni heshima sana kwake.
Mashabiki wa Ngada fc wanatafuta kila aina ya faraja inakosekana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wiki 2 nyuma ilikuwa phiri ni bonge la straika mayele akasome!!!, Baaada ya mechi mbili Sasa phiri amekuwa kiungo??. Mayele sio mchezaji wa daraja la kina phiri, mayele anafunga kila aina ya magori!, Kuna yule mpuuzi mwenzako anajiita nanii sijui... Alileta uzi humu wakipuuzi kumfananisha mayele na kibu[emoji1787].
Yule ni mweupe kichwani na miguuni.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wiki 2 nyuma ilikuwa phiri ni bonge la straika mayele akasome!!!, Baaada ya mechi mbili Sasa phiri amekuwa kiungo??. Mayele sio mchezaji wa daraja la kina phiri, mayele anafunga kila aina ya magori!, Kuna yule mpuuzi mwenzako anajiita nanii sijui... Alileta uzi humu wakipuuzi kumfananisha mayele na kibu[emoji1787].