Phone number Trick!

Phone number Trick!

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Phone Number trick



Try this and tell me if it worked for you

It's interesting


It worked for me





1. Key in the first 3 digits of your phone
number into a calculator (not the area code)



2. Multiply by 80



3. Add 1



4. Multiply by 250



5. Add the last four digits of your phone number



6. Add the last four digits of your phone number again



7. Subtract 250



8. Divide by 2 at last





Is it your phone number ??
 
mkubwa nimecheck hiyo kitu inafanya kazi vizuri sana.....Lakini sio kwa namba za nje ya TZ..mfano kwa namba U.K hiyo kitu haifanyi kazi.......
 
mkubwa nimecheck hiyo kitu inafanya kazi vizuri sana.....Lakini sio kwa namba za nje ya TZ..mfano kwa namba U.K hiyo kitu haifanyi kazi.......

"Comfusion when I did it with my phone"
 
bangi na hesabu wapi na wapi?
 
Jamani mi nmejaribu inafanya mbona fresh tu. Isije ikawa nyie ndo mna matatizo. Nlichogundua tu ni kwamba namba ze2 zinaanza na sifuri. Hiyo sifuri usiichukue kama namba. Mfano 0784818396, namba tatu za mwanzo ni 784 na sio 078.
 
sorryy--------doesnt work braa!! try something else
 
mzee hizo last four digits tuzijumlisha vp.....mfano kama last digits zangu ni 9604 nazijumlisha namna gani......9+6+0+4 au kipengere namba nne nijumlishe na namba ilivyo yaani + 9604?
 
Jamani mi nmejaribu inafanya mbona fresh tu. Isije ikawa nyie ndo mna matatizo. Nlichogundua tu ni kwamba namba ze2 zinaanza na sifuri. Hiyo sifuri usiichukue kama namba. Mfano 0784818396, namba tatu za mwanzo ni 784 na sio 078.

Nimepiga hii number haiko hewani 0784818396 !
 
nisaidieni hapa wandugu twataka kujua please???????????????
mzee hizo last four digits tuzijumlisha vp.....mfano kama last digits zangu ni 9604 nazijumlisha namna gani......9+6+0+4 au kipengere namba nne nijumlishe na namba ilivyo yaani + 9604?
 
uliambiwa uipige hiyo namba?si aliitoa kama mfano tu?jamani mbona twashindwa elewa????

HAhahahaha mpwa alijua kidosho cha kisonjo si unajua vinatumia sana Zain
 
Ushakutana na Msonjo mazee ....wale wanakeketa kimtindo...
 
Back
Top Bottom