Photo Editing itaua biashara zenu za jezi Simba na Yanga

Wadau muwafikishie hizi salamu wahusika.. Sisi wauzaji tunapata tabu sana tunapofanya delivery ya jezi zenu kwa wateja kwani picha hazina uhalisia na bidhaa zenu.
Yote hayo ameyataka VunjaBei.

Kaleta Jezi ndani ya saa 8 zimeanza kuchanika begani.....(atumie pamba halisi ya bei ghari sio zile za Uchina.)
Waambieni Ukweli WanaUtopolo....Wamezidi...!


Kaleta jezi ndani ya siku mbili logo ya kifuani inabanduka ....(aache kutumia superglue)
 
Yote hayo ameyataka VunjaBei.

Kaleta Jezi ndani ya saa 8 zimeanza kuchanika begani.....(atumie pamba halisi ya bei ghari sio zile za Uchina.)



Kaleta jezi ndani ya siku mbili logo ya kifuani inabanduka ....(aache kutumia superglue)
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wadau muwafikishie hizi salamu wahusika.. Sisi wauzaji tunapata tabu sana tunapofanya delivery ya jezi zenu kwa wateja kwani picha hazina uhalisia na bidhaa zenu.
Hahahaha hapo naona unazunguka mbuyu,kuwa muwazo sema Jezi za Vunja Bei ni malonyalonya
 
Hyo jezi mbona imechanwa kwa nguvu na sio kutatuka kwa kawaida, hafu kabla ya kupita picha za jezi futa kioo Cha camera y'ako ni kichafu mkuu.
Na hiyo Logo nayo imechanwa kwa nguvu,mbona hatuoni matobo ya kilupitisha Uzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…