Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu sio mzembemzembe analijua game kiundani huwezi mwelewa.Jamaa muoga kweli, hajiamini kabisa, ona hata makamanda wake hawaamini.View attachment 2202820View attachment 2202821
Wakati Zelensky anajichanganya na makamanda wake anazurula nao Hadi mitaani na yuko kwenye nchi ambako ndo vita vinapiganwa na ndo kavamiwa anatafutwa na adui.Huyu sio mzembemzembe analijua game kiundani huwezi mwelewa.
Putin anatafutwa hata kabla ya hii operation yake dhidi ya Ukraine.Wakati Zelensky anajichanganya na makamanda wake anazurula nao Hadi mitaani na yuko kwenye nchi ambako ndo vita vinapiganwa na ndo kavamiwa anatafutwa na adui, Putin yeye nchini kwake hakuna hata vita lakini kajificha ndani anaogopa hadi makamanda wake kuliko hata corona make sio kwa social distance hiyo [emoji2][emoji2]
Hapo hakuna cha kusogeleana wala kusalimiana kwa kupeana mikono.
huyu bro ahamini mtu, hiyo distance na mgeni wake ni ya kutosha.
Hata Zelensky anatafutwa hata kabla ya hii vita lakini yeye sio muoga kama Putin.Putin anatafutwa hata kabla ya hii operation yake dhidi ya Ukraine.
Zelensky anatafutwa na nani ? Pata muda mfatilie Putin maisha yake ndio utajua huyu sio ligi moja na huyo Zelensky wala Biden.Hata Zelensky anatafutwa hata kabla ya hii vita lakini yeye sio muoga kama Putin.
Putin anaota yuko kuzimu kila siku, sio kwa hofu hiiJamaa muoga kweli, hajiamini kabisa, ona hata makamanda wake hawaamini.View attachment 2202820View attachment 2202821
Huyu si walisema anakaribia kufa huyu au?
Goggle ni ya mrusi?Hivi unajua Putin amenusurika kuuwawa mara ngapi?
Ingia goggle uone
Unajua kwa nini Fidel Castro alikuwa hai mpaka umauti umemfikia?Putin anaota yuko kuzimu kila siku, sio kwa hofu hii