Photo: Putin meeting with UN Secretary General

Photo: Putin meeting with UN Secretary General

Wakati Zelensky anajichanganya na makamanda wake anazurula nao Hadi mitaani na yuko kwenye nchi ambako ndo vita vinapiganwa na ndo kavamiwa anatafutwa na adui.

Putin yeye nchini kwake hakuna hata vita lakini kajificha ndani anaogopa hadi makamanda wake kuliko hata corona make sio kwa social distance hiyo [emoji2][emoji2]
Una kapicha ka zele akitembea mtaani
 
Una kapicha ka zele akitembea mtaani
Hatari wanaumee!!
images-17.jpg
images-16.jpg
images-15.jpg
 
Wakati Zelensky anajichanganya na makamanda wake anazurula nao Hadi mitaani na yuko kwenye nchi ambako ndo vita vinapiganwa na ndo kavamiwa anatafutwa na adui.

Putin yeye nchini kwake hakuna hata vita lakini kajificha ndani anaogopa hadi makamanda wake kuliko hata corona make sio kwa social distance hiyo [emoji2][emoji2]
Jifunze kutofautisha vitu viwili. Binadamu wote sawa lakini watu wote si sawa.

Zelensky huwezi linganisha Putin. Rais wa ukirein akifa madarakani kwa assassination siyo sawa na Rais wa Urusi. Rais wa Tanzania akifa kwa assassination siyo sawa na Rais wa Marekani.
Zelensky ni binadamu sawa na Putin lakini utu wa Putin siyo sawa na Zelensky.
 
Back
Top Bottom