Hiyo ni universal distance hasa sio social distance..social distance
... jamaa linaogopa mionzi kinoma!Jamaa muoga kweli, hajiamini kabisa, ona hata makamanda wake hawaamini.View attachment 2202820View attachment 2202821
Una kapicha ka zele akitembea mtaaniWakati Zelensky anajichanganya na makamanda wake anazurula nao Hadi mitaani na yuko kwenye nchi ambako ndo vita vinapiganwa na ndo kavamiwa anatafutwa na adui.
Putin yeye nchini kwake hakuna hata vita lakini kajificha ndani anaogopa hadi makamanda wake kuliko hata corona make sio kwa social distance hiyo [emoji2][emoji2]
Kumbe kashotii namna hii
Jifunze kutofautisha vitu viwili. Binadamu wote sawa lakini watu wote si sawa.Wakati Zelensky anajichanganya na makamanda wake anazurula nao Hadi mitaani na yuko kwenye nchi ambako ndo vita vinapiganwa na ndo kavamiwa anatafutwa na adui.
Putin yeye nchini kwake hakuna hata vita lakini kajificha ndani anaogopa hadi makamanda wake kuliko hata corona make sio kwa social distance hiyo [emoji2][emoji2]