arnolds
Senior Member
- Oct 10, 2009
- 105
- 57
Amani kwenu wadau...
Natumaini mu wazima wa afya na mnaendelea vyema na shughuli za kila siku. naomba msaada kwa yeyote anayefaham
sehemu ninayoweza kupata vifaa vya studio ya picha (kama photo points vile). nahitaji vifaa kama digital camera (canon EOS 60D), Tripod stands, lighting kits, backdrops/backgrounds, photo printer nk..
nashukuru kwa msaada wenu!.
Natumaini mu wazima wa afya na mnaendelea vyema na shughuli za kila siku. naomba msaada kwa yeyote anayefaham
sehemu ninayoweza kupata vifaa vya studio ya picha (kama photo points vile). nahitaji vifaa kama digital camera (canon EOS 60D), Tripod stands, lighting kits, backdrops/backgrounds, photo printer nk..
nashukuru kwa msaada wenu!.