Habari zenu wapendwa, je ninaweza kupata mashine moja ambayo inaweza ikatoa photocopy, ikaprint na kuscan na inaweza ikatoa black & white pamoja na coloured? na kama inapatikana, aina gani ni nzuri na inakuwa imetengenezwa wapi na ninaweza kuipata kwa bei gani?
Ntashukuru sana kwa mawazo yako.