Photographers' Corner

Najua nimechelewa ila hii picha ilikuwa ya kuagia mwezi uliopita.

Goodbye September I hardly Knew You.
September whizzed by and gone-to-soon
 

Mkiambiwa msipigie kura CCM hamsikii, endeleeni kula vumbi na kukosa maji huku walikopigia kura upinzani wanatengenezewa barabara za lami na maji ya kumwaga. CCM haijishughulishe sana na majimbo yake kwani wali unawatosha bali inahangaika sana kwenye majimbo ya upinzani kwani wanawakaba koo na kuwatolea macho kila sekunde.
 

nimeipenda tena hicho kijina hapo juu kilivyomatch ni noma..
 
In Ngorongoro and Loliondo!!
 

Attachments

  • Buffalo Camp1.jpg
    1.3 MB · Views: 140
  • Buffalo Camp2.jpg
    1.3 MB · Views: 136
  • Serena View2.jpg
    390.4 KB · Views: 133
wananchi wa huko hiyo tabu wanayoipata ni haki yao kabisa-
they had decision in their hands
 
Jumamosi iliyopita - doing somework at OU

yanayoonekana upande huo ni mabweni







Unaweza kuona sehemu niliyokuwa nimesimama nikichukua hizo picha mbili za kwanza.
 
Places in Babati....
 

Attachments

  • Mto.jpg
    1.2 MB · Views: 172
  • Msitu3.jpg
    918.2 KB · Views: 165
  • Msitu2.jpg
    933.2 KB · Views: 172
  • Msitu.jpg
    797.6 KB · Views: 182
  • Ziwa Babati.jpg
    421 KB · Views: 186
  • Ziwa Babati2.jpg
    639.1 KB · Views: 212
  • Babati.jpg
    385.7 KB · Views: 154
  • Babati3.jpg
    1.5 MB · Views: 167
He

Hii imepigwa kutoka kwenye chopper kwenye misitu ya congo...DRC...U can see natural resources ambayo wanayo hawa jamaa.
he kaka umenikumbusha hii misitu ya DRC inatisha inakuwa kama vile uko kwenye ndege unakatisha bahari kwenda bara jingine,nilikuwa naenda Angola tukapita hizo anga du ni ajabu unaenda mpaka unashau nikajiulize kama kitu kitaporomoka hapa si tutakuwa tu chakula cha mafisi na hakuna atakayefika hata kuchukua mabaki
 

Kaka uku ni balaa...Ndege ikianguka ni hard to trace...na watu kutoka hai ni 0.001% kwani miiti ni mingi sana na hali ya hewa huwa inabadilika sana.
 


Hii imepigwa kutoka kwenye chopper kwenye misitu ya congo...DRC...U can see natural resources ambayo wanayo hawa jamaa.
kwanini tunafeli kwenye uongozi wa hizi serikali zetu? uchumi mnao mnaukalia.Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…