Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Dar nchi kwa ujumla neema ila nchi imejaa mafisadi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@EL Toro & Eglypz mnatumia camera aina gani ni zile professional kama EOS ,SLR au ni hizi za kawaida na je kuwa mpiga picha mzuri lazima uwe na hizo camera wanazotymia ma pro ,je hivi vidigital camera vya kawaida huuzwa mpaka tsh 350,000 vinafaa kwa shughuli za kupiga picha nzuri hasa kama ni kwa ajili ya kuuza,pia nimeona wapiga picha wengi kwenye sherehe mbalimbali kama vile harusi ,graduation hupiga picha hapo hapo kwenye tukio na muda si mrefu unakuta ziko tayari je wanafanyaje, thx wakulu

Hii picha nimeipiga muda mfupi uliopita hiyo ni car park ya kati ya jengo la international house na Southern Sands hotel Dar
![]()
kwanini tunafeli kwenye uongozi wa hizi serikali zetu? uchumi mnao mnaukalia.Nalog off
Kama msitu wa Minziro, kule mkoani kagera.![]()
Hii imepigwa kutoka kwenye chopper kwenye misitu ya congo...DRC...U can see natural resources ambayo wanayo hawa jamaa.

