vampire123 JF-Expert Member Joined Apr 17, 2016 Posts 1,310 Reaction score 865 Nov 2, 2018 #1 Kama kichwa cha habari kinavyosena hapo juu, ni kutokana na kazi ninayofanya ya ku stay long time working on a computer ndo imepelekea hivyo. Macho yangu yanakuwa yanauma nikikaa sehemu zenye mwanga pia hata taa.naomba mnisaidia ndugu zangu.
Kama kichwa cha habari kinavyosena hapo juu, ni kutokana na kazi ninayofanya ya ku stay long time working on a computer ndo imepelekea hivyo. Macho yangu yanakuwa yanauma nikikaa sehemu zenye mwanga pia hata taa.naomba mnisaidia ndugu zangu.