vampire123
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 1,310
- 865
Kama kichwa cha habari kinavyosena hapo juu, ni kutokana na kazi ninayofanya ya ku stay long time working on a computer ndo imepelekea hivyo. Macho yangu yanakuwa yanauma nikikaa sehemu zenye mwanga pia hata taa.naomba mnisaidia ndugu zangu.