Photos: Donald Trump and Uhuru Kenyatta finally meet

Photos: Donald Trump and Uhuru Kenyatta finally meet

Akitoka mnasema, asipotoka tena ni shida. Hivi nyie wa mtaa wa ufipa msimamo wenu ni upi hasa!!
Tatizo unarahisisha kwamba kila anayemsema Magufuli ni wa mtaa wa Ufipa.

Halafu maisha yako yote hujui light iko wapi katika electromagnetic spectrum.

Huelewi kwamba kusafiri kila siku kunaweza kuwa kubaya na kujifungia ndani usisafiri kabisa kukawa kubaya vile vile, kwamba urais unataka balance na nuance, vitu ambavyo mshamba gubegube kama Magufuli havielewi.

Na wewe mshamba kama yeye, kwa hiyo sishangai kwamba huelewi.
 
Tatizo unarahisisha kwamba kila anayemsema Magufuli ni wa mtaa wa Ufipa.

Halafu maisha yako yote hujui light iko wapi katika electromagnetic spectrum.

Huelewi kwamba kusafiri kila siku kunaweza kuwa kubaya na kujifungia ndani usisafiri kabisa kukawa kubaya vile vile, kwamba urais unataka balance na nuance, vitu ambavyo mshamba gubegube kama Magufuli havielewi.

Na wewe mshamba kama yeye, kwa hiyo sishangai kwamba huelewi.
Kujifanya revolutionary, angalia msijikute hafifu
 
Rais wetu anafanya mambo makubwa ,japo wengi hawapendi style yake ya uongozi lakini yupo makini sna! !akisafiri mambo bado hayajakaa hatutafika, muacheni afanye kazi mambo mazuri yaja
Angekuwa makini asingekubali mikataba mibovu.

Acha kututukana matusi ya rejareja.
 
Kujifanya revolutionary, angalia msijikute hafifu
Anayejifanya revolutionary ni huyo Magufuli na kukurupuka kwake.

Hata chama chake kinajiita revolutionary.

Mimi ninayesema kujifanya revolutionary kimaigizo (kupitisha mkataba mbovu halafu kujifanya unaukataa bila kufuata mchakato) ni ujinga huwezi kuniita najifanya revolutionary.

Magufuli anatuingiza kwenye IPTL nyingine.
 
msimponde magu sana...hakualikwa kwenye kongamano lile sasa ikawa aje akuwe pale? jamaa wa kuchapa kazi...mpeeni muda asafishe nchi yake...
 
Kenyatta ni akilikubwa sana...tafadhali wakenya tusimkubali Odinga aingie kwenye kiti cha urais....the guy is a big fool upstairs...he will not bring any development in kenya...the good thing is that this is probably his last time running for office...if he loses, he goes forever...
 
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Imepita mwaka mmoja sasa (Tangu june 2016), hili la bomba la mafuta ndo mmekua mkituringia tu... mnasaign hi dili kila siku mkikutana 😕😕😵 Total ndo mwenye pesa, Tullow na CNOOC pamoja na total ndo wenye mafuta, wote siwaoni hapo, hii inamaanisha itabidi mkutane tena kama hivi msaini mkataba tena.... Alafu hapo sasa ndo muanze tender tena badae ndo msaini mkataba wa kampuni itakayo anza ujenzi, alafu badae tena ndo mfanye uzinduzi (Ground braking ceremony) ...yani kiufupi bado kuna miezi mingi kabla tuanze kuona mapicha ya Ujenzi......


meanwhile wakati tz-Ug mnaendelea ku RE-sign the oil pipeline deal, mjapan ameshakubali kutoa pesa za kupanua bandari ya mombasa tena kwa dili mpya, Yani rais na rais wanaketi kwa kameza tu hapo nje masaa ya jioni kukiwa kumetulia na kuongea ana kwa ana.. Dili inapigwa tu pole pole
UHURU-SHINZO-JAPAN.jpg


Kumbuka ni juzi tu tulizindua bandari mpya berth number 21, hata barabara yake bado haijamalizwa kujengwa, sasa tushapiga dili ya kupanua bandari zaidi... Kufikia sasa bandari ya Mombasa ni mara dufu ya Dar
p5-ticad-kenya-b-20160826.jpg


Kufikia sasa bandari ya Mombasa ni mara dufu ya Dar.. Nyi endeleeni kuturingia hio deal moja ya bomba kila siku ni bomba bomba!
 
Kenyatta ni akilikubwa sana...tafadhali wakenya tusimkubali Odinga aingie kwenye kiti cha urais....the guy is a big fool upstairs...he will not bring any development in kenya...the good thing is that this is probably his last time running for office...if he loses, he goes forever...
Kwa kuleta investment ndani ya nchi na foreign policy..I doubt there will ever be an effective duo (Uhuru and Amina) representing this country, Uhuru should be like a permanent representative for Kenya.... But ikija kwa mambo ya hapa ndani ya nchi.... Uhuru has suceeded in some parts (e.g health) but failed miserably in other parts....his biggest failure is tackling corruption.... No matter what great things he does, if he does not tackle all forms of corruption...trust me, even if he were to win a 2nd term for one reason or the other, corruption (or failure to tackle it) is what he will be remembered for in the grand of things when people look back
 
Imepita mwaka mmoja sasa (Tangu june 2016), hili la bomba la mafuta ndo mmekua mkituringia tu... mnasaign hi dili kila siku mkikutana 😕😕😵 Total ndo mwenye pesa, Tullow na CNOOC pamoja na total ndo wenye mafuta, wote siwaoni hapo, hii inamaanisha itabidi mkutane tena kama hivi msaini mkataba tena.... Alafu hapo sasa ndo muanze tender tena badae ndo msaini mkataba wa kampuni itakayo anza ujenzi, alafu badae tena ndo mfanye uzinduzi (Ground braking ceremony) ...yani kiufupi bado kuna miezi mingi kabla tuanze kuona mapicha ya Ujenzi......


meanwhile wakati tz-Ug mnaendelea ku RE-sign the oil pipeline deal, mjapan ameshakubali kutoa pesa za kupanua bandari ya mombasa tena kwa dili mpya, Yani rais na rais wanaketi kwa kameza tu hapo nje masaa ya jioni kukiwa kumetulia na kuongea ana kwa ana.. Dili inapigwa tu pole pole
View attachment 515290

Kumbuka ni juzi tu tulizindua bandari mpya berth number 21, hata barabara yake bado haijamalizwa kujengwa, sasa tushapiga dili ya kupanua bandari zaidi... Kufikia sasa bandari ya Mombasa ni mara dufu ya Dar
p5-ticad-kenya-b-20160826.jpg


Kufikia sasa bandari ya Mombasa ni mara dufu ya Dar.. Nyi endeleeni kuturingia hio deal moja ya bomba kila siku ni bomba bomba!
kwa povu hilo ni ishara kwamba "kisu cha ngariba kimeingia mahala pake".
 
Imepita mwaka mmoja sasa (Tangu june 2016), hili la bomba la mafuta ndo mmekua mkituringia tu... mnasaign hi dili kila siku mkikutana 😕😕😵 Total ndo mwenye pesa, Tullow na CNOOC pamoja na total ndo wenye mafuta, wote siwaoni hapo, hii inamaanisha itabidi mkutane tena kama hivi msaini mkataba tena.... Alafu hapo sasa ndo muanze tender tena badae ndo msaini mkataba wa kampuni itakayo anza ujenzi, alafu badae tena ndo mfanye uzinduzi (Ground braking ceremony) ...yani kiufupi bado kuna miezi mingi kabla tuanze kuona mapicha ya Ujenzi......


meanwhile wakati tz-Ug mnaendelea ku RE-sign the oil pipeline deal, mjapan ameshakubali kutoa pesa za kupanua bandari ya mombasa tena kwa dili mpya, Yani rais na rais wanaketi kwa kameza tu hapo nje masaa ya jioni kukiwa kumetulia na kuongea ana kwa ana.. Dili inapigwa tu pole pole
View attachment 515290

Kumbuka ni juzi tu tulizindua bandari mpya berth number 21, hata barabara yake bado haijamalizwa kujengwa, sasa tushapiga dili ya kupanua bandari zaidi... Kufikia sasa bandari ya Mombasa ni mara dufu ya Dar
p5-ticad-kenya-b-20160826.jpg


Kufikia sasa bandari ya Mombasa ni mara dufu ya Dar.. Nyi endeleeni kuturingia hio deal moja ya bomba kila siku ni bomba bomba!
kwa povu hilo ni ishara kwamba "kisu cha ngariba kimeingia mahala pake".
 
Imepita mwaka mmoja sasa (Tangu june 2016), hili la bomba la mafuta ndo mmekua mkituringia tu... mnasaign hi dili kila siku mkikutana 😕😕😵 Total ndo mwenye pesa, Tullow na CNOOC pamoja na total ndo wenye mafuta, wote siwaoni hapo, hii inamaanisha itabidi mkutane tena kama hivi msaini mkataba tena.... Alafu hapo sasa ndo muanze tender tena badae ndo msaini mkataba wa kampuni itakayo anza ujenzi, alafu badae tena ndo mfanye uzinduzi (Ground braking ceremony) ...yani kiufupi bado kuna miezi mingi kabla tuanze kuona mapicha ya Ujenzi......


meanwhile wakati tz-Ug mnaendelea ku RE-sign the oil pipeline deal, mjapan ameshakubali kutoa pesa za kupanua bandari ya mombasa tena kwa dili mpya, Yani rais na rais wanaketi kwa kameza tu hapo nje masaa ya jioni kukiwa kumetulia na kuongea ana kwa ana.. Dili inapigwa tu pole pole
View attachment 515290

Kumbuka ni juzi tu tulizindua bandari mpya berth number 21, hata barabara yake bado haijamalizwa kujengwa, sasa tushapiga dili ya kupanua bandari zaidi... Kufikia sasa bandari ya Mombasa ni mara dufu ya Dar
p5-ticad-kenya-b-20160826.jpg


Kufikia sasa bandari ya Mombasa ni mara dufu ya Dar.. Nyi endeleeni kuturingia hio deal moja ya bomba kila siku ni bomba bomba!
kwa povu hilo ni ishara kwamba "kisu cha ngariba kimeingia mahala pake".
 
kwa povu hilo ni ishara kwamba "kisu cha ngariba kimeingia mahala pake".
Kama mkenya, sisi huwa hatuweki hard feelings au chuki moyoni kwa mambo ya kibiashara, dili ikoanguka unasonga mbele tu na kutafuta nyengine, Kensho yake nikirudi kwa yule wa jana sina chuki wala nini kwa dili ya jana.... Pale pindi Uganda ilipotangaza itajenga bomba kupitia Tanga, hapo ndo ungekua mkweli ukiniambia 'povu' lakini pindi tulipoamua kupiga dili na tullow tujenge bomba letu kivyetu yetu yaliishia hapo..
 
Canadian PM
1495896210040.jpg
1495896217870.jpg
JEAN CLAUDE YUNKER EU commisioner
1495896227549.jpg
1495896232504.jpg
Trump Kenyatta
1495896236541.jpg
 
Back
Top Bottom