Photos: Ex Presidents Kenya Vs Tanzania

Photos: Ex Presidents Kenya Vs Tanzania

It is doing better now that Ever
That guy Killed our Education system which is Everything of our prosperity, Killed Healthcare system, corruption rose during his terms,
Incompetency in public offices, not to mention the pathetic infrastructure, and our currency died there.. Ivory and Wild animal poaching was even done by some top ccm officials wtf
But that is one side of the coin otherwise jamaa kuna some Areas alikuwa Vizuri sana pia,
To me if outweighed them, Magufuli is far better than Kikwete.
At times we need to be sincere, JK alikuwa na mapungufu yake as a human being ila kafanya mengi
- Alianza kufanya maboresho makubwa ya mahospitali mbalimbali na kwa namna ya pekee, kituo cha upasuaji wa moyo muhimbili ilikuwa kazi yake +hospital ya Mloganzira.
- Ujenzi wa miundombinu karibia nchi nzima na katika ujenzi huo ndiko JPM alikopatia umaarufu.
- Ajira zilikuwepo + wafanyakazi kulipwa stahiki zao.
- Demokrasia ilikuwa nzuri kabisa + biashara kukuwa kwa asilimia kubwa.

N. B
JPM anafanya kazi kubwa ila tusizungumzie maraisi waliopita kama hawakufanya chochote.
 
Hehe,
Acha majirani wawasifu,
Ukitaka kuskia ukweli acha jirani azungumze kukuhusu.
Kati ya maraisi ambao ni mfano wa kuigwa kwa sasa ni uhuru, huwa hana muda na petty issues anaangalia maswala kwa jicho la mustakabali wa nchi
 
How is Tanzania a huge country poorer than Haiti ?
 
Back
Top Bottom