Dosantos robert
Member
- May 25, 2016
- 50
- 19
watanzania mtazidi kubaki nyuma juu ya ubishi wenu .2030 mtakua level yetu ambayo tulikua 2000 .so nomber mtaosoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
so nomber mtaosoma,? MTALIJUA JIJI kwaheriwatanzania mtazidi kubaki nyuma juu ya ubishi wenu .2030 mtakua level yetu ambayo tulikua 2000 .so nomber mtaosoma
Duu hii kali na vipi waliosoma Uganda MA,Va, Dc,Tx ,MD,Uk,Spain,Pa,TN.NJ,NY,NH,and so on watasemaje? watanzania wanasoma kila sehemu ya dunia hii sawa na nchi nyingine na wapo kila sehemu usitake kuleta ukenya too much MK.Watanzania ambao hubahatika kupata elimu ya Kikenya huwa wanapata ajira kwao kiulaini, maana wanakua na desturi za kujituma Kikenya. Cheki hii picha
![]()
Duu hii kali na vipi waliosoma Uganda MA,Va, Dc,Tx ,MD,Uk,Spain,Pa,TN.NJ,NY,NH,and so on watasemaje? watanzania wanasoma kila sehemu ya dunia hii sawa na nchi nyingine na wapo kila sehemu usitake kuleta ukenya too much MK.
Wewe acha kuweka ndoto. Weka vitu vinavyojengwaArusha Safari City Tanzanai
![]()
Kama hii eeeehhh? Ndoto mwenziwe ndoto![]()
Yote 9, kumi jiandaeni kwenye uchaguzi muone mukulu wenu atakavyoendelea kuwapelekea vidole kunako ... mtakoma ... au umesaau namna mlivyokimbizana uchaguzi uliopita!Hujalijua hilo? Halafu kuna baadhi yao hushinda kutwa wakibisha na Wakenya ili kujiongeza maarifa. Huwa inawasaidia sana kwenye kazi zao/career-wise. Ambao wengine ni watafiti/researchers n.k. Hivyo tuendelee kuwaelimisha
Utakuta mtu ana ID moja ambayo hutumia kwenye mada za Kenya halafu na ID nyingine ambayo hutumia kwenye mada za Watanzania kule kwenye majukwa yao.
Kuna wakati huwa wanajichanganya halafu wanajisahau na kupost same content kwa ID zote mbili.
IF you are in your 30sor 40s..you should be able to enjoy some of the benefits...eat right..eat traditional foods and stay away from sugar and salt(MZUNGU FOODS)..and marry one woman and stay with her..I wish there were some pills that can reduce aging, as I want ti experience all these stuffs before they are pushed to our coming generations....hehehehe
Mwenye macho haambiwi tazama.
wewe Nairobiwalker kiboko yako wewe!! dondosha dondosha! 🙂