Photos: Kakamega Town Airtel Shop Full from morning To 10pm tonight

Photos: Kakamega Town Airtel Shop Full from morning To 10pm tonight

Hii nchi inaelekea kukatika
Kumbe wewe unajua leo kuhusu kusambaratika kwa Kenya?, Dr. David Ndii amekuwa akilisema hili mara nyingi tu, ila kama kawaida watu walimpinga na kumpa kila aina ya jina baya, wakenya hupenda zaidi kudanganywa na kusifiwa tu.
 
Luo na Gikuyu, kaazi kwelikweli

Kenya ndo inakufa hivyo, Pwani wanasemaje?
 
Raila kaonyesha jinsi akili yake ilivyo mbovu. Watakaoumia from this ni Kenyans wenyewe ila that fool doesn't care. Hameni pelekeni hela kwenye companies za nje huku za nyumbani zinakufa. Politics sio business.
Nashauri majimbo yanayokubaliana na NRM wajitenge wamchague Raila awe Rais wao.
 
Back
Top Bottom