It's NOT a loan to the country but to the Company undertaking the project. Jamaa mbona uelewa wako finyu hivi?
Hapana mahali pameandikwa kwamba mwananchi atalipishwa kupita hapo.Sasa hivi vile mlijengewa Uungo overpass na Japan dar imekuwa Japan?
Poor kibera dwellers just got hit with the mic you dropped, and they saying to themselves, the gods must be crazy.In case you are late to the party.. We are a capitalist nation not a socialist one like you guys.
*drops mic and walks away*
Nchi nyingi au tuseme zote isipokuwa Bongo kuna tolls. Ukisafiri kila baada ya KM kadhaa inabidi ulipe toll siyo nyingi mfano US it is about 2.50us dollars, Thailand unalipa equivalent na 1 dollar, Myanmar ukienda vijiini unalipa about 1 us dollar lakini ni kila count yaani wilaya. Hizo pesa ndo zinasaidia miundombinu kuendelea. Barabara zipo safi kabisa. Siyo sisi unalazimishwa kulipa kwenye foleni tena mabasi tu. It does not work like that..
Eti a small profitFor those who ask how this will be financed, it is private money not a loan or grant. A survey was done before launching to find out if kenyans are willing to pay to use a toll road 65% responded in the affirmative, 20% were not decided until they see the project, the rest responded in the negative. The range given by respondents on the amount they are willing to pay ranged from kshs 50-200 per day, it has been decided to settle at kshs 155 per day per car. This will enable the private investor to get back their money and make a small profit then transfer the road to the government.
Hapana mahali pameandikwa kwamba mwananchi atalipishwa kupita hapo.
Sisi tunafanya maisha na watu wenye akili,sio vibaka.china ni wahuni tu.
Kigamboni magari hupita bure bila kulipa sio?
Hehehe...kumbe huwa unawaangalia Rosette na Biko. Uliachana na TelemundoRoset kakuchanganya nn Hadi ndio avatar yako?
Kwa hivo Kigamboni bridge mnayolipishwa ni ya China sivyo?Hapana mahali pameandikwa kwamba mwananchi atalipishwa kupita hapo.
Sisi tunafanya maisha na watu wenye akili,sio vibaka.china ni wahuni tu.
Si uulize ni mali ya nani??Kwa hivo Kigamboni bridge mnayolipishwa ni ya China sivyo?
Ile inaingia moja kwa moja kwenye mfuko wa serikali,sio mfuko wa wachina budaaa.Kigamboni magari hupita bure bila kulipa sio?
Kulingana na logic yako ni mali ya China.Si uulize ni mali ya nani??
Sasa unataka ubishe kitu gani[emoji1][emoji1]Kulingana na logic yako ni mali ya China.
Kwa hivo Kigamboni pia ni ya Wachina?Sasa unataka ubishe kitu gani[emoji1][emoji1]
China wanajenga hiyo barabara kwa hela zao,kisha wanaisimamia wakiiendesha kwa miaka 50 ijayo,halafu useme hiyo barabara ni malia ya kenya[emoji38][emoji38][emoji38],labda kama mna mpango wa kuwanyang'anya.
Hiyo sio kazi yangu kukujibu,jishughulishe.Kwa hivo Kigamboni pia ni ya Wachina?
Kulingana na logic yako ni mali ya China.
Kwa hivo Kigamboni pia ni ya Wachina?
Hiyo sio kazi yangu kukujibu,jishughulishe.
Au hujui tunajadili nini hapa!!!!