Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And it gonna be long overdone, mpaka 2055 ndio mchina atawaachia mpite bure by that time it will no longer look like something worth this amount of corruption, China gonna own all major means of transportation in Kenya eternityThis project has been long overdue
Nchi nyingi au tuseme zote isipokuwa Bongo kuna tolls. Ukisafiri kila baada ya KM kadhaa inabidi ulipe toll siyo nyingi mfano US it is about 2.50us dollars, Thailand unalipa equivalent na 1 dollar, Myanmar ukienda vijiini unalipa about 1 us dollar lakini ni kila count yaani wilaya. Hizo pesa ndo zinasaidia miundombinu kuendelea. Barabara zipo safi kabisa. Siyo sisi unalazimishwa kulipa kwenye foleni tena mabasi tu. It does not work like that..
Designed, Funded, Constructed and Operated, Maintained by CCCC,
Kenya ndiyo inauzwa hivyo,
Hapo uhuru atakuwa amepiga mpunga mrefu sana wa kustaafia kabisa,
Manina
Uhuru has commissioned the construction of JKIA to Westlands expressway today.
In some stretches it is elevated.
This one is surely going to change the face of Westlands, and Nairobi.
The estimated completion date is December 2021.
It is a toll road.
View attachment 1234980View attachment 1234981View attachment 1234982View attachment 1234983
To my understanding, this are two intertwined roads one being above the other.One is tolled the other is free and you only pay once you shift to the road above(expressway)Bongo tolls zipo. Mfano daraja la kigamboni na pantoni zote nchini.
Kabla ya kuanza mradi kama huo, first and foremost you should have a study on ability and willingness to pay. It's not a common thing in Afrika, coz people think that road is a public good/asset. It's non rival and non excludable. Ton and Dicky can use the facility. The people also have the feeling that, the particular asset is a result of their taxes. They will think, we paid tax which used to put this asset, why should we pay tolls?
In developed economies the issue of toll roads is not uncommon. There are several, also the private roads.
Wajinga wachache kama nyie mnahitaji kuelimishwa. Kwahiyo hawa praise team wa Uhuru waliopost humu hujawaona nyie ndio mnaofanya Tanzania tuonekane wajingaCongrats,ingekuwa bongo hapo Magu angefanya mradi huu wimbo wa taifa na kutukana watangulizi wake na maccm yangeimba pambio kila forum
Gharama ya hizi 27km ni zaidi ya SGR ya Dar Moro 300km
Halafu mchina ndio atakua anakusanya Road tolls kwa zaidi ya miaka 30! Yaani Kenya inapigwa mpaka raha
And it gonna be long overdone, mpaka 2055 ndio mchina atawaachia mpite bure by that time it will no longer look like something worth this amount of corruption, China gonna own all major means of transportation in Kenya eternity
To my understanding, this are two intertwined roads one being above the other.One is tolled the other is free and you only pay once you shift to the road above(expressway)
Gharama ya hizi 27km ni zaidi ya SGR ya Dar Moro 300km
Halafu mchina ndio atakua anakusanya Road tolls kwa zaidi ya miaka 30! Yaani Kenya inapigwa mpaka raha
Wewe Bana unanivunja mbavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wacha uzwazwa, hiki kitu Mchina anajenga kwa hela yake, sio deni, halafu atatoza tozo kwa yeyote atahitaji kutumia, zingatia pia itapita juu kwa juu kutokea karibu na uwanja wa ndege hadi Westlands, kwa hivyo maelfu ya Wakenya wasiopenda usumbufu wa foleni za mjini watapaa nayo nayo mbele kwa mbele.
Ndio muundo mbinu wa kipekee ukanda wote huu, raundi hii tunawapiga kumi bila, ukizingatia tofauti za uchumi baina yetu unazidi kuongezeka, sasa hivi tumewaacha kwa pengo la bilioni $40 hiyo ina maana mkiunganishwa Zanzibar, Danganyika, kisha mpewe Rwanda, Burundi muwe German East Africa iliyokua inabakwa na Mjerumani, bado hamtakua mumekaribia makalio ya Wakenya.
Kitu hiki hapaaaaa!!!!
![]()
Bara bara ya juu ndio itakua toll na chini ndio itakua freeThat's a common way. There must be an adjacent free facility that is not in good condition as the tolled one. Also restrictions such as speed limits, speed humps/bumps.
Mimi naona hio price ya project ikoo juu Sana,lakini sioni shida ya ppp,kama hautaki foleni unalipa toll ksh 70 na kama hautaki kulipia unatumia lanes za chini ambazo ni freeDesigned, Funded, Constructed and Operated, Maintained by CCCC,
Kenya ndiyo inauzwa hivyo,
Hapo uhuru atakuwa amepiga mpunga mrefu sana wa kustaafia kabisa,
Manina
That's a common way. There must be an adjacent free facility that is not in good condition as the tolled one. Also restrictions such as speed limits, speed humps/bumps.
Mimi naona hio price ya project ikoo juu Sana,lakini sioni shida ya ppp,kama hautaki foleni unalipa toll ksh 70 na kama hautaki kulipia unatumia lanes za chini ambazo ni free
Wacha uzwazwa, hiki kitu Mchina anajenga kwa hela yake, sio deni, halafu atatoza tozo kwa yeyote atahitaji kutumia, zingatia pia itapita juu kwa juu kutokea karibu na uwanja wa ndege hadi Westlands, kwa hivyo maelfu ya Wakenya wasiopenda usumbufu wa foleni za mjini watapaa nayo nayo mbele kwa mbele.
Ndio muundo mbinu wa kipekee ukanda wote huu, raundi hii tunawapiga kumi bila, ukizingatia tofauti za uchumi baina yetu unazidi kuongezeka, sasa hivi tumewaacha kwa pengo la bilioni $40 hiyo ina maana mkiunganishwa Zanzibar, Danganyika, kisha mpewe Rwanda, Burundi muwe German East Africa iliyokua inabakwa na Mjerumani, bado hamtakua mumekaribia makalio ya Wakenya.
Kitu hiki hapaaaaa!!!!
![]()
Ya kibabe sana...hata kama mwauzwa...poa tu.