postYeyote atatoa homework, usianze ushamba wa kulinganisha lugha, Wewe fanya homework, tusaishane hapa
Naanza mimi.
Nina form ambayo ninatatka kutuma user name kwenye database, basi nafanyaje hapa?
Nakutakia homework njema.
Kwa wale wanaojifunza, php ama laravel, I'm here to brush them and even you, pia unaweza weka homework ili kusaidia wengineSijajua concept ya huu Uzi,ila
Ukiuliza swali la namna hio,huna budi kutuonyesha codes za walau ulipofikia ili iwe rahisi kwetu kujua tunaanzia wapi kujibu swali lako
Tuonyeshe codes zako
Okay, i will do it in a few minUngetupia homework yako kule Github ili vijana wajifunze kitu, na wengine pia wenye homework zao watupie humo, hivyo ndio namna ya kuelimishana. Hakikisha code yako umeweka maelerzo/comments za kutosha.