Physics kwa ujumla kitaifa form wamefauluje

Physics kwa ujumla kitaifa form wamefauluje

Banking of road !!, kipindi cha babu yangu hakukuwa na massive constructions za barabara kiasi kwamba the Banking at the corners of roads ihusike, juu ya yote asingeshindwa kitambua jambo hilo.

Physics haina msaada kwetu, inaomsaada kwa watu wengine, let them do it effectively and let's do something else effectively as a substitute to Physics, that's what I mean.---- so far with your knowlefge of Physics, have you ever made even a needle??
Aliekuambia massive constructions ndio zinapelekea banking of the road ni nani? Unabisha tu ilimradi. Nakuelewesha kidogo tu...banking of the road factors zake ni speed ya magari na Radius ya curve. Hivyo vitu vinakupa centrifugal force, hii ni force ambayo inavuta gari nje pindi gari linatembea kwenye curve. Sasa kutokana na hilo ndio maana kwenye curve kunakuwa banked ili ku overcome outward force lakini sio Kwa kila curve sababu curve ambazo centrifugal force ni kidogo banking of the road Una achana nayo.

Sasa Babu yako au Wewe ambao hamjui physics utajuaje curve Fulani iwekewe banking na Kwa kiwango gani?

Vile vile unaamini kabisa maghorofa yanaweza kusimama bila physics? Zile nondo unaona zinasukwa kwenye beam au elements zingine hiyo yote ni mchango wa physics. Uta calculate forces na bending moments na hivyo kupelekea nondo zako ziweje na usukwaji wake. Sasa kama hujui physics kama Wewe na Babu yako hizo bending moments utazipata vipi?
Au unaamini mafundi huwa wanajisukia tu?

Bila physics hakuna Civil engineers na bila civil engineers hayo maghorofa na Barabara utazijenga vipi?

Vile vile Kutoa maji kutoka mto ruvu mpaka Dar es salaam haiwezi kufanikiwa bila mchango wa Physics. Bila Physics hakuna taifa na mchango wa Physics haupo Tu kwenye kutengeneza vitu viwandani kama hizo sindano.
 
Sasa Babu yako au Wewe ambao hamjui physics utajuaje curve Fulani iwekewe banking na Kwa kiwango gani?


Weeee, tema mate chini mimi ninaweza kuwa mwalimu wako wa physics, usione nasema physics ifutwe basi ukaanza dharau zako!!!.


For a perfect banking, frictional force must be zero, so;

(MV²/R)cosB=MgsinB

V²/Rg=tanB, ili road katika curvature iwe perfectly banked lazima hiyo equation iwe satisfied.

Sasa usinidharau ukadhani mimi ni mweupe, mechanics etc imelala hapa.
 
Weeee, tema mate chini mimi ninaweza kuwa mwalimu wako wa physics, usione nasema physics ifutwe basi ukaanza dharau zako!!!.


For a perfect banking, frictional force must be zero, so;

(MV²/R)cosB=MgsinB

V²/Rg=tanB, ili road katika curvature iwe perfectly banked lazima hiyo equation iwe satisfied.

Sasa usinidharau ukadhani mimi ni mweupe, mechanics etc imelala hapa.
Level ya physics yako ni ya kinadharia zaidi ndio maana unapinga mchango wa Physics kwenye maendeleo.
 
Level ya physics yako ni ya kinadharia zaidi ndio maana unapinga mchango wa Physics kwenye maendeleo.


Na physics inaanzia kwenye theory, je humjui Newton, Einstein, nk, hao wote na wengine walikuwa ni Theoretical physicists, Einstein alipoata Nobel prize yake kutokana na equation ya Photoelectric effect, hf=Q+work function (electron exit work function).

Kwa sisi waafrika matumizi ya physics yametutupa mkono mno, wenzetu katika nchi zilizoendelea wapoo juu mno, akili zetu ni finyu sana, sasa kwanini tushupalie kitu tusichoweza??

Mimi sipingi mchango wa physics katika maendeleo bali napinga sisi kung'ang'ania kitu tusichoweza na kuacha tunavyoweza.
 
Na physics inaanzia kwenye theory, je humjui Newton, Einstein, nk, hao wote na wengine walikuwa ni Theoretical physicists, Einstein alipoata Nobel prize yake kutokana na equation ya Photoelectric effect, hf=Q+work function (electron exit work function).

Kwa sisi waafrika matumizi ya physics yametutupa mkono mno, wenzetu katika nchi zilizoendelea wapoo juu mno, akili zetu ni finyu sana, sasa kwanini tushupalie kitu tusichoweza??

Mimi sipingi mchango wa physics katika maendeleo bali napinga sisi kung'ang'ania kitu tusichoweza na kuacha tunavyoweza.
Sijadharau theory bali nimesema level yako wewe iko level ya nadharia pekee au hamna kabisa. Unaposema physics tuachane nayo maana yake taifa lisiwe na engineers, Doctors n.k

Unataka physics tuiache ili madoctors hao wachache waliopo pale muhimbili wasiwepo kabisa. Unataka tuachane na physics ili maengineers walio design maghorofa pale posta wasiwepo kabisa. Hata kama matumizi ya physics ni kidogo lakini kuicha kabisa ni kulizika taifa maana kujenga jengo la ghorofa mbili litakuhitaji mtalaam atoke nje ya nchi.

Unachotakiwa kujua physics sio somo la kila mtu. Slow learner hawezi kuielewa physics hata afundishwe na walimu wazuri kiasi gani. Kinachopaswa ni kuwaboresha wale wanaoiweza physics hadi wawe wabobezi kwenye Nyanja mbali mbali za kisayansi ili walisaidie taifa Kwa kiwango kikubwa.
 
Banking of road !!, kipindi cha babu yangu hakukuwa na massive constructions za barabara kiasi kwamba the Banking at the corners of roads ihusike, juu ya yote asingeshindwa kitambua jambo hilo.

Physics haina msaada kwetu, inaomsaada kwa watu wengine, let them do it effectively and let's do something else effectively as a substitute to Physics, that's what I mean.---- so far with your knowlefge of Physics, have you ever made even a needle??
Umejitahidi kuongea lakn ndio hivo tena umeongea pumba 🤣🤣 sema ngoja tuheshimu mawazo yako ..
Daah et physics haina msaada kwetu kwahyo unapendekeza tuiache ??? Aisee broh umejipnda lkn ndoivo umechangia Pumba tupuuu....
Etiii kwa lile daraja la Wami jipya limejengwa na wabongo , pale kijazi flyover ni wabongo , swali je ni vipi utaweza kujenga vitu mfano wa hivo bila ya application of physics??? Wew umefikiria tu application of physics ni Banking Road tu ?? 😂😂😂😂😂🧏‍♂️🧏‍♂️
 
Banking of road !!, kipindi cha babu yangu hakukuwa na massive constructions za barabara kiasi kwamba the Banking at the corners of roads ihusike, juu ya yote asingeshindwa kitambua jambo hilo.

Physics haina msaada kwetu, inaomsaada kwa watu wengine, let them do it effectively and let's do something else effectively as a substitute to Physics, that's what I mean.---- so far with your knowlefge of Physics, have you ever made even a needle??
Umejitahidi kuongea lakn ndio hivo tena umeongea pumba 🤣🤣 sema ngoja tuheshimu mawazo yako ..
Daah et physics haina msaada kwetu kwahyo unapendekeza tuiache ??? Aisee broh umejipnda lkn ndoivo umechangia Pumba tupuuu....
Etiii kwa lile daraja la Wami jipya limejengwa na wabongo , pale kijazi flyover ni wabongo , swali je ni vipi utaweza kujenga vitu mfano wa hivo bila ya application of physics??? Wew umefikiria tu application of physics ni Banking Road tu ?? 😂😂😂😂😂🧏‍♂️
Sijadharau theory bali nimesema level yako wewe iko level ya nadharia pekee au hamna kabisa. Unaposema physics tuachane nayo maana yake taifa lisiwe na engineers, Doctors n.k

Unataka physics tuiache ili madoctors hao wachache waliopo pale muhimbili wasiwepo kabisa. Unataka tuachane na physics ili maengineers walio design maghorofa pale posta wasiwepo kabisa. Hata kama matumizi ya physics ni kidogo lakini kuicha kabisa ni kulizika taifa maana kujenga jengo la ghorofa mbili litakuhitaji mtalaam atoke nje ya nchi.

Unachotakiwa kujua physics sio somo la kila mtu. Slow learner hawezi kuielewa physics hata afundishwe na walimu wazuri kiasi gani. Kinachopaswa ni kuwaboresha wale wanaoiweza physics hadi wawe wabobezi kwenye Nyanja mbali mbali za kisayansi ili walisaidie taifa Kwa kiwango kikubwa.
Agiza kinywaji chochote hapo , broh mim nitalipa .... saaaafi kabisa mtu anajua physics ni sawa kusema binadam wa kwanza alikuwa nyani kwmba hata tukiacha no any impacts... broh dunia bila physics ni bado yan wew unataka hata kujenga kidaraja cha mita .100 ndo mpaka engineer atoke nje .?? 😅😅😅 haiwezekan broh kama uvosema ..muhimu hapa ni wale wabobezi kuhakikosha wanaojifunza kupitia wao waakikishe wanajua zaidii.. full stop ✋️
 
Umejitahidi kuongea lakn ndio hivo tena umeongea pumba 🤣🤣 sema ngoja tuheshimu mawazo yako ..
Daah et physics haina msaada kwetu kwahyo unapendekeza tuiache ??? Aisee broh umejipnda lkn ndoivo umechangia Pumba tupuuu....
Etiii kwa lile daraja la Wami jipya limejengwa na wabongo , pale kijazi flyover ni wabongo , swali je ni vipi utaweza kujenga vitu mfano wa hivo bila ya application of physics??? Wew umefikiria tu application of physics ni Banking Road tu ?? 😂😂😂😂😂🧏‍♂️

Agiza kinywaji chochote hapo , broh mim nitalipa .... saaaafi kabisa mtu anajua physics ni sawa kusema binadam wa kwanza alikuwa nyani kwmba hata tukiacha no any impacts... broh dunia bila physics ni bado yan wew unataka hata kujenga kidaraja cha mita .100 ndo mpaka engineer atoke nje .?? 😅😅😅 haiwezekan broh kama uvosema ..muhimu hapa ni wale wabobezi kuhakikosha wanaojifunza kupitia wao waakikishe wanajua zaidii.. full stop ✋️


Somo mama la physics ni maths, maths watu wengi ni vilaza sasa itakuwaje kwenye physics??.
 
Pia wanakwenda kusoma waliofaulu o-level na wanakuwa na malengo.
Yes ni hivyo, ila ugumu uko pale pale, ni vile mtu unajua nn kimekuweka pale, daah ila phyz staki kukumbukaa. Inakuangusha dkk 0,

Nashukuruu haikuni umbuaaa, [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Yes ni hivyo, ila ugumu uko pale pale, ni vile mtu unajua nn kimekuweka pale, daah ila phyz staki kukumbukaa. Inakuangusha dkk 0,

Nashukuruu haikuni umbuaaa, [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Sisi tuliosoma physics kabla ya 2000,ilikuwa ni balaa.ukichukua past paper zile ukawapa Hawa madogo ni hatari hawatoboi.sikuhizi nafuukidogo Kuna walimu na vitabu vya TIE vipo.
 
Sisi tuliosoma physics kabla ya 2000,ilikuwa ni balaa.ukichukua past paper zile ukawapa Hawa madogo ni hatari hawatoboi.sikuhizi nafuukidogo Kuna walimu na vitabu vya TIE vipo.
Yeaaah ni kweli.
 
Ifike mahali somo la physics lipewe heshima yake, mwanafunzi aamue mwenyewe kusoma kuanzia form 1
 
Back
Top Bottom