Broken soul
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 459
- 131
Unasoma pcb alafu unataka kuopt geography?kwa sababu physics haisomeki?
Fafanua vizuri,
Wahi cbg uwe ka mimi, saiv nipo udsm nakula nakula kitu roho inapenda
nenda cbg mapema kijana,utataga
Haha ndo plan maana physics mziki mnene, bora nisome map na statistics lol
Vijana wa siku izi sijui nini kina wasibu!? kwani wewe huna malengo maishani mwako??? na kwa nini unafwata mkumbo??
kijana kaa tulia na usome kuja humu jamvini na kuanza piga makelele mara physics imefanyaje haitakusaidia kitu!! timiza malengo na usiwe mtu wa kukata tamaa mapema kiasi hicho!!
We sema tu topic ambazo ni ngumu kwako ili uje nikupe tution acha kulalamika kijana
piga CBG dogo mwenzio nlisoma hiyo nko hapa BUGANDO napiga MD bt kaza sana chem na bios atleast C at each! karibu bugando ukule anatomy ya dr manyama!!!
Badili kulingana na unachotaka, japo uende ukijua unataka kuja kusoma nini baadaye... Have a goal n stick into it sio ushaogopa somo mapema kabla hujaanza, ucdhani kwenye geography ndio pa kutokea... One thing ill assure u, ukikaa ukatuliza kichwa na kusema vingine vyote visubiri hadi nimalize f6 ukakalia kitabu kisawasawa hata hiyo Physics A inakuja, ila unatafuta ati wapi rahisi ili usome kizembezembe mkuuh hata G huko utaambulia F
Yan mimi inayonipelekesha kuliko zote ni
fluid mechanics