[Pic - MUST SEE] : Zuma and His SANDF ready To Help Kabila and Kikwete to do This In DRC CONGO...


DUH KWELI HUNA KAZI YA KUFANYA UNAWEZAJE KUANDIKA UTUMBO MREFU KIASI HIKI BILA HATA YA KUJISTUKIA...UNAJUA KONGO YAPO MAKUNDI MANGAPI YA WAASI ZAIDI YA M23?hakuna unachojua zaidi ni hisia tu na stori mnazolishana kwenye vijiwe vya kahawa na unga...."kwani wanatujua vyema" unachekesha sana...huwezi ukajifunza wenzako wanafanyaje kama ukiwa na mawazo mgando kama hayo....kiboko yetu watz ni Berth 19 iliyokuwa commissioned leo....ni kwasababu ya slugishness ya ubongo wenu ndo maana hamuwezi enda kwa speed ya eac...fuatilia speech za leo mombasa za marais 3 Kagame,mseven,uhuru...unadhani nani ana haki miliki ya eac?mi kama raia wa tanzania si afiki mawazo yako juu ya sakata la congo...ila kwa kuwa tumezoea zidum fikra za mtu flani ndo maana wenye fikra tofauti mnatuita wanyarwanda.....
rwanda inajua vita ni nini ndo maana piga ua haiwezi ingia vitani hta kidogo...ila kwa sababu tumerithi amani hatujui thamani yake ndo maana tunashabkia vita....keep knowing "vita kati ya nchi na nchi si sawa na mechi ya mpira kati ya timu ya taifa na taifa"

CHA MAANA NI KUJITAHIDI KUITUNZA AMANI TULIORITHI.....MUNGU IBARIKI AFRIKA MASHARIKI
 

I bet wewe sio Mtanzania,na ndio maana hata hiyo avater yako imeanza na Ruz,unaweza pia kuwa ruzibuka.Najua nachokiongea na wala sina "mahaba" kama uliyonayo wewe.
Take it from me,zama za Kagame zinaisha,na mtatapatapa sana kama "kuku wa mdondo"Tumewabeba sana ,na sasa mmenyea kiota.
 

JK kuna mhamiaji haramu anajitangazia uraia humu....
 

MBONA UNAHANGAIKA BURE....ARGUE FACTS siyo unahisi utanipumbaza kwa kuniita mnyarwanda...jina la kibantu hilo...hivi jamani watz nani katuroga..hizo ndo hadith nakuta migration,mashuleni nasehem nyingine nyingi tu tz....jina lianze vyovyote vile has nothing to do with ma nationality...wenzako wanaoitwa mandela,obama nk niwazuru wa SA au wajaruo wa Kenya?huna uwezo wa kufikiri sipotezi muda na wewe.....
GOD BLESS EAC
 
JK kuna mhamiaji haramu anajitangazia uraia humu....

HAHAHAHAHA.....UMENIKOSA WE KAA KWENYE JAMVI TUONE NCHI INAVOENDA JK ana mambo mengine ya msingi na manufaa kwa nchi zaidi ya unavojua.....
 
Don't need your sympathy dude. Wahurumie hao interahamwe manake ndio wanaohitaji huruma zako na akina mokala1989. Hivi yuko wapi mbona haonekani? Atakuwa amevuka yuko Congo ameenda kuwasalimia ndugu zake.

Your arrogance will always make your head a snake-like na kila mtu anataka kukukanyaga.....!
 
Watutsi wako wengi sana humu jf, sishangai sana hata mtikila kasema dictator kagame ameingika wanyarwanda karibia 30,000
 


Improve your English!
 

Mkuu nngu007,
Tatizo sio kubandika au kutokutaka kuona ya mtandao wa M23, tatizo ni kutokuweka wazi kwenye kichwa cha habari au kabla/baada ya hiyo post kuelezea kuwa hiyo ni propaganda toka mtandao wa M23.

Unapo-post kama vile imetoka BBC, baadhi ya wasiolewa watachukulia kilichoandikwa kuwa ni ukweli kwani hawajui kuwa Congodrcnews.com ndio M23.
 
hivi watu huwa hamuelei maana ya umoja wa mataifa..................tz haijapeleka jeshi drc bali umoja wa mataifa ndio umeomba wanajeshi wa meba states coz yenyewe kama un haina jeshi...........tazama lebel zao wanazovaaaa, acheni propaganda nyinyi watu
 

We sio m bongo banaa acha kujibalaguza wakati mwenyewe unajisema. Kama we ni mbongo basi mnafiki kama sio kibaraka au la unachuki binafsi na mkuu wa kaya. Ila kumbuka, huwez kutushawishi tukuamin kwa kusema tu kuwa wewe ni mtz
 
We sio m bongo banaa acha kujibalaguza wakati mwenyewe unajisema. Kama we ni mbongo basi mnafiki kama sio kibaraka au la unachuki binafsi na mkuu wa kaya. Ila kumbuka, huwez kutushawishi tukuamin kwa kusema tu kuwa wewe ni mtz

mtazamo wangu ndo unaniongoza daima...sihitaji kutumia muda mwingi kukushawishi....ni dhambi kusaliti nchi yangu ila si dhambi kuwa na mtazamo tofauti na unaye mwita mkuu wa kaya....tatizo ni either haujijui au basi tu ni limbukeni unavamia vitu vinavozidi uwezo wako wa kufikiri...angalieni sana hii mitandao ya kijamii si ya kuingia hata kama huna akili timamu....huku hizi maneno za chuki na chochoko huwa zinakuwa censored lakini kwa kuwa ni jamvi la waswahili hata kenge wamo ndani na wanaharibu msafara mods wakiona tu....

Kagame kagame m23 watutsi nk.... ndo order of the day kuna mambo mengine ambayo hasa ya direct impact kwetu lakini hatuna uelewa wa kuyazungumzia badala yake tunakurupukia mambo ambayo hayatuhusu kabisa ila kwa sababu ni yenye kuhusisha chuki ndo tunaona deal....kaa ukijua hatuna mtizamo wa kitanzania kila mtu ana mtizamo wake katika mabo fulani..kama unajua kuna mtizamo wa ki-tz hujielewi na kama una umri mdogo nenda shule sijadili mambo na mbumbumbu utachekwa...

MUNGU BARIKI WATU WAKO
 
The DRC army is a ragtag undisciplined group of marauding looters and rapists. The UN chooses to turn a blind eye on their atrocities and blame everything on M23 which is highly disciplined and focused. Just look at those photos and how the Congolese army treats the dead. Reminds me of the stakes method used by the ex FAR and interahamwe murderers back in 94.
 
JK ameshasema kama mvamizi akija na nywele ataondoka na kipara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…