[Pic - MUST SEE] : Zuma and His SANDF ready To Help Kabila and Kikwete to do This In DRC CONGO...

[Pic - MUST SEE] : Zuma and His SANDF ready To Help Kabila and Kikwete to do This In DRC CONGO...

Nashukuru kwa kunitusi kuwa mimi ni mbumbumbu.
ila umbumbumbu wangu umenionyesha hivi.

Kagame anawasupport M23 na inaonekana ,sehemu kubwa ya M23 ni wanajeshi wa Rwanda waliojificha ndani ya kivuli cha M23.Rwanda na Uganda wamekuwa wakiiba sehemu kubwa ya Rasilimali za DRC kupitia wanajeshi wao.Na ndio maana Miongoni mwa watu wenye hela nyingi Rwanda ni wanajeshi.Kikwete aliona mbali sana uhuni wa mikutano ya usuluhishi,kuwa ni kiini macho, na ndio maana kwa kushirikiana na SADC wakaomba UN wawaruhusu kusimamia vikosi vya kulinda amani DRC,Hapo ndipo chuki halisi ya Kagame kwa kikwete ilipoanza, kwani Kagame alijua fika kwamba kitumbua chake kinaingia mchanga.Ndio maana toka SADC ilipoamua kuingia hapo,kila mtu alikua akilalamikia Tanzania ,kwanini ipeleke majeshi yake,hawakuzungumzia majeshi mengine,kwani wanatujua vyema.

Hivyo basi kauli aliyoitoa Kagame ya kumdharau JK,haitokani na ukweli kwamba ule ushauri ni mbaya,ila ilikua kauli ya chuki kutokana na JK kupeleka majeshi DRC ambapo KG,amekua akiiba rasilimali kule.Sasa kinachotokea,Uchumi wa Rwanda hautakua tena kwa kasi ile waliyojisifia na ndio maana kwenye hii EAC wanapoitenga Tz,wanajaribu kuua sehemu ambazo wanajua ,zinaendesha uchumi wa TZ ,ili nao kutukomoa,kwamba "wewe mwaga mboga, na mie namwaga ugali"

Lakini soon itathibitika Rasmi kwamba Kagame na Museveni ndio M23.Itakua hivi,M23 saa hizi wanapigwa,mwisho wa siku ni lazima tu watakimbilia kule wanakotoka,nako si kwingine ni Rwanda na uganda.na sehemu kubwa itakua ni lazima Rwanda.sasa majeshi haya ya kulinda amani ni lazima yaingie huko kuwa maliza.Kitakachotokea ni nini/rwanda itaanza kulalamika kwamba majeshi haya yameingilia Rwanda ili kutafuta sababu ya kuyapiga.Na ndio maana propaganda zimeanza mapema,za kujifanya oooh,mabomu yanarushwa rwanda toka DRC kumbe ni uongo,mabomu yanapigwa toka Rwanda.
Hili tuliishaliona mapema pale Kagame alipoanza kupanga upya safu yake ya kijeshi.Kwani ameishaanza kujiandaa kupambana.
Mwisho wa siku ,siku zenu zinahesabika,nawaoneeni huruma sana.waulize M23, kinachoendelea huko.Kiufupi nyie ni watu wanafiki sana.Na jumuiya ya kimataifa inajua kwamba nyie ndio mnafanya amani DRC isiwepo.Na ndio maana Tanzania ilikataa msiingie EAC mpaka mmalize migogoro yenu kwanza.Mkatetewa na Mseveni,wenu mkisema matatizo ya vita yataisha kirahisi mkiwa ndai ya EAC,kumbe mlikua mnatafuta chaka la kujifichia.Matokeo yake mmetoka na migogoro yenu huko mnakuja kutuletea na sisi.
Lakini hili pia ni fundisho kwa Tanzania kwamba dunia ya sasa haina kitu cha bure.Watu hawa tumewafadhili sana,na wengi wao tumewasomesha bure na wengine wamefanya hata kazi kwenye taasisi zetu,tukaacha hata kuwasomesha vijana wetu,na pia tumewasaidia sana akiwemo Kagame mwenyewe,matokeo yake ,yeye ndio anatudharau na kujifanya kiburi.Ni wakati sasa wa kuanza kulipwa kwa kile tunachokifanya.Kwa mf' ni wakati hata wa DRC kuanza kuangalia,baada ya UN mission kuisha,tutakapoisadia kuanza kutrain vijana wao,itulipe ili kuachana na mambo ya tenda wema nenda zako.Mataifa yote makubwa Duniani hayakusaidii bure.
Huo ndio umbumbumbu wangu kwa leo.

DUH KWELI HUNA KAZI YA KUFANYA UNAWEZAJE KUANDIKA UTUMBO MREFU KIASI HIKI BILA HATA YA KUJISTUKIA...UNAJUA KONGO YAPO MAKUNDI MANGAPI YA WAASI ZAIDI YA M23?hakuna unachojua zaidi ni hisia tu na stori mnazolishana kwenye vijiwe vya kahawa na unga...."kwani wanatujua vyema" unachekesha sana...huwezi ukajifunza wenzako wanafanyaje kama ukiwa na mawazo mgando kama hayo....kiboko yetu watz ni Berth 19 iliyokuwa commissioned leo....ni kwasababu ya slugishness ya ubongo wenu ndo maana hamuwezi enda kwa speed ya eac...fuatilia speech za leo mombasa za marais 3 Kagame,mseven,uhuru...unadhani nani ana haki miliki ya eac?mi kama raia wa tanzania si afiki mawazo yako juu ya sakata la congo...ila kwa kuwa tumezoea zidum fikra za mtu flani ndo maana wenye fikra tofauti mnatuita wanyarwanda.....
rwanda inajua vita ni nini ndo maana piga ua haiwezi ingia vitani hta kidogo...ila kwa sababu tumerithi amani hatujui thamani yake ndo maana tunashabkia vita....keep knowing "vita kati ya nchi na nchi si sawa na mechi ya mpira kati ya timu ya taifa na taifa"

CHA MAANA NI KUJITAHIDI KUITUNZA AMANI TULIORITHI.....MUNGU IBARIKI AFRIKA MASHARIKI
 
DUH KWELI HUNA KAZI YA KUFANYA UNAWEZAJE KUANDIKA UTUMBO MREFU KIASI HIKI BILA HATA YA KUJISTUKIA...UNAJUA KONGO YAPO MAKUNDI MANGAPI YA WAASI ZAIDI YA M23?hakuna unachojua zaidi ni hisia tu na stori mnazolishana kwenye vijiwe vya kahawa na unga...."kwani wanatujua vyema" unachekesha sana...huwezi ukajifunza wenzako wanafanyaje kama ukiwa na mawazo mgando kama hayo....kiboko yetu watz ni Berth 19 iliyokuwa commissioned leo....ni kwasababu ya slugishness ya ubongo wenu ndo maana hamuwezi enda kwa speed ya eac...fuatilia speech za leo mombasa za marais 3 Kagame,mseven,uhuru...unadhani nani ana haki miliki ya eac?mi kama raia wa tanzania si afiki mawazo yako juu ya sakata la congo...ila kwa kuwa tumezoea zidum fikra za mtu flani ndo maana wenye fikra tofauti mnatuita wanyarwanda.....
rwanda inajua vita ni nini ndo maana piga ua haiwezi ingia vitani hta kidogo...ila kwa sababu tumerithi amani hatujui thamani yake ndo maana tunashabkia vita....keep knowing "vita kati ya nchi na nchi si sawa na mechi ya mpira kati ya timu ya taifa na taifa"

CHA MAANA NI KUJITAHIDI KUITUNZA AMANI TULIORITHI.....MUNGU IBARIKI AFRIKA MASHARIKI

I bet wewe sio Mtanzania,na ndio maana hata hiyo avater yako imeanza na Ruz,unaweza pia kuwa ruzibuka.Najua nachokiongea na wala sina "mahaba" kama uliyonayo wewe.
Take it from me,zama za Kagame zinaisha,na mtatapatapa sana kama "kuku wa mdondo"Tumewabeba sana ,na sasa mmenyea kiota.
 
DUH KWELI HUNA KAZI YA KUFANYA UNAWEZAJE KUANDIKA UTUMBO MREFU KIASI HIKI BILA HATA YA KUJISTUKIA...UNAJUA KONGO YAPO MAKUNDI MANGAPI YA WAASI ZAIDI YA M23?hakuna unachojua zaidi ni hisia tu na stori mnazolishana kwenye vijiwe vya kahawa na unga...."kwani wanatujua vyema" unachekesha sana...huwezi ukajifunza wenzako wanafanyaje kama ukiwa na mawazo mgando kama hayo....kiboko yetu watz ni Berth 19 iliyokuwa commissioned leo....ni kwasababu ya slugishness ya ubongo wenu ndo maana hamuwezi enda kwa speed ya eac...fuatilia speech za leo mombasa za marais 3 Kagame,mseven,uhuru...unadhani nani ana haki miliki ya eac?mi kama raia wa tanzania si afiki mawazo yako juu ya sakata la congo...ila kwa kuwa tumezoea zidum fikra za mtu flani ndo maana wenye fikra tofauti mnatuita wanyarwanda.....
rwanda inajua vita ni nini ndo maana piga ua haiwezi ingia vitani hta kidogo...ila kwa sababu tumerithi amani hatujui thamani yake ndo maana tunashabkia vita....keep knowing "vita kati ya nchi na nchi si sawa na mechi ya mpira kati ya timu ya taifa na taifa"

CHA MAANA NI KUJITAHIDI KUITUNZA AMANI TULIORITHI.....MUNGU IBARIKI AFRIKA MASHARIKI

JK kuna mhamiaji haramu anajitangazia uraia humu....
 
I bet wewe sio Mtanzania,na ndio maana hata hiyo avater yako imeanza na Ruz,unaweza pia kuwa ruzibuka.Najua nachokiongea na wala sina "mahaba" kama uliyonayo wewe.
Take it from me,zama za Kagame zinaisha,na mtatapatapa sana kama "kuku wa mdondo"Tumewabeba sana ,na sasa mmenyea kiota.

MBONA UNAHANGAIKA BURE....ARGUE FACTS siyo unahisi utanipumbaza kwa kuniita mnyarwanda...jina la kibantu hilo...hivi jamani watz nani katuroga..hizo ndo hadith nakuta migration,mashuleni nasehem nyingine nyingi tu tz....jina lianze vyovyote vile has nothing to do with ma nationality...wenzako wanaoitwa mandela,obama nk niwazuru wa SA au wajaruo wa Kenya?huna uwezo wa kufikiri sipotezi muda na wewe.....
GOD BLESS EAC
 
JK kuna mhamiaji haramu anajitangazia uraia humu....

HAHAHAHAHA.....UMENIKOSA WE KAA KWENYE JAMVI TUONE NCHI INAVOENDA JK ana mambo mengine ya msingi na manufaa kwa nchi zaidi ya unavojua.....
 
Don't need your sympathy dude. Wahurumie hao interahamwe manake ndio wanaohitaji huruma zako na akina mokala1989. Hivi yuko wapi mbona haonekani? Atakuwa amevuka yuko Congo ameenda kuwasalimia ndugu zake.

Your arrogance will always make your head a snake-like na kila mtu anataka kukukanyaga.....!
 
Watutsi wako wengi sana humu jf, sishangai sana hata mtikila kasema dictator kagame ameingika wanyarwanda karibia 30,000
 
CONGODRC NEWS



Why? Why? Why this Injustice in Congo? Every one must check this

Massacre de Rumangabo Par Joseph Kabila



Zuma and His SANDF ready To Help Kabila and Kikwete to do This In DRC CONGO – MUST SEE

I cant Understand how Zuma and Kikwete want to fight when they are in good position to put pression on Kabila in order to get a political solution and not Military. ARE SNADF AND TANZANIAN SOLDIERS RAEDY TO JOIN FORCE WITH FARDC (CONGO GOVERMENT ARMY KNOWN FOR RAPES AND THEIR CRIMINALITIES AGAINST CIVILIANS)? WILL ZUMA AND KIKWETE BE RESPONSIBLE FOR ALL CRIMES WHICH WILL BE COMMITTED ON THE BATTLE FIELD? DO THEY THINK THAT IT WILL BE EASY FOR THEM TO FINISH M23 FREEDOM FIGHTERS (ACCUSED TO BE TUTSIS)? DO THEIR THINK THAT IT IS FOR SOME ONE TO PUT HIS GUN DOWN WHEN HE KNOWS THAT HIS KILLER IS NEAR?

Sory for showing these picture and Video, We just want to show How African leader are Ready to scarify us for their own interest.

Phil Moore / AFP – Getty Images
The bodies of two alleged M23 fighters are dumped out of the back of a pickup truck by Congolese Army soldiers in the village of Rusayo on July 16, 2013 during a press visit. According to the army, one of the men was Ugandan and the other Rwandan, but they could not produce the identity cards that they claimed to have seen proving this.




simone schlindwein : FARDC soldiers playing around with dead #M23 bodies on the frontline. is this acc to the code of conduct?




A man accused by the Congolese Army of being a spy of rebels of the M23 movement is tied and taken away on July 16, 2013 in Munigi on the outskirts of Goma in the east of the Democratic Republic of the Congo. The army in the Democratic Republic of Congo on July 16 pursued an offensive against rebels of the M23 movement to protect the North Kivu provincial capital of Goma. M23, a movement launched by Tutsi defectors from the army who accuse the Kinshasa government of reneging on a 2009 peace deal, last year occupied Goma for 10 days before pulling out under international pressure. PHIL MOORE/AFP/Getty Images



Why When Tutsi or Banyarwanda community in Congo are being killed by Congo government in Goma and The UN doesn’t condemn it?


Why Tutsi tribes and all Banyarwanda communities are being arrested in Goma In the eyes of UN soldiers without any reactions from the International communities?


Why Tutsi are being Kidnapped in Goma and Yet UN staffs in Goma are silent?


Why when Banyamulenge (Tutsi ) were killed in Gatumba, UN didn’t’ condemn the Killers?


Why when they know that Congo government doesn’t want Banyarwanda and need this community to be chased out of Congo, and instead of UN to stop it, they are helping this government to kill Tutsis?


Why this UN knows that Hutu genocidal are fighting alongside with FARDC yet this rubbish Monusco is helping them to kill civilians?


Why when FARDC bombs civilians in Goma UN put it on M23 shoulder?


Why UN is working together with the Congo government battalion which raped 120 girls aged 6 years in MINOVA as reported by France 24 and some NGO, and raped 70 women in Katanga as reported by OCHA


Why UN has made a coalition with those who committed genocide in Rwanda against Tusti, is it because UN has an agenda to kill Congolese Tustis?


Why is the UN supporting terrorists in Syria when they fight their government, and in Congo they fight M23 because they are protecting themselves against their killers and the most corrupt government in the world?


Why M23 Need a political solution for Congo trough peace talks, but France, Jacob Zuma and Kikwete Want war? Is it because Zuma and his nephew Kulubuse Zuma are Doing dark oil Business with Joseph kabila in DRC? Is it because Kabila has invested in Tanzania with all what he has looted in DRC? Is it because After Killing Tutsi in Rwanda, France what to kill Tutsis in Congo?


Why Are they Condamning M23 for recruting child soldiers without proof, but can’t condemn Hamas terrorists for using children in their campaign against sons of Jacob and king David?


Why John Kerry Condemned Rwanda after the allegation that Rwanda is supporting M23. But can’t condemn himself for helping terrorists in Syria who are fighting the dictator Assad. Is it because they have to do whatever they want in this world without any one who can condemn them?


Why does USA government has the right to follow their enemies wherever they are, But if others get accused false fully for attacking they enemies in other country they get sanctions?


Why are they condemning M23 for crimes it has not committed, but never condemning Joseph Kabila and his administration for all his crimes. May be they will condemn him for the killings he committed on Saturday in Katale, Kibumba and Buvuga, where he killed 16 children and women. Wonder how they will condemn their ally who is helping them loot Congo Minerals?


Here we go with Joseph Kabila criminalities in the DRC?

Victims of kabila Bombardements in Rumangabo



Joseph kabila Helped By UN bombed civilians in Rumangabo eastern DRC





Victims of Joseph kabila and FDLR Hutu genocidals from Rwanda Helped By UN in Rumangabo eastern DRC


Massacre de Rumangabo Par Joseph Kabila

Tonigh we will publish More photos of Yesterday killings by the Evil Coalition of FARDC, SANDF, TZ FORCES, HUTU MILITIANS FDLR and MONUSCO helped by UN.


Meanwhile below is the Video which was published by France 24 television, Inside the video some women in congo were sodomised by FARDC. and some got blow job and UN is helping these Criminals. why? because these SANDF and MONUSCO soldiers are also known for raping woman in Congo. ”Birds of the same feathers flock together”


Improve your English!
 

Hapo ndio Tatizo la WATANZANIA; Hamtaki kusikia Wapinzani Wanavyosema ili KUJIIMARISHA; Sasa kama nisinge weka hii HOJA nani angejua hayo hapa nchini jinsi hao Majirani zetu wanavyosema?

That's what is CALLED DEMOCRACY...

Lazima tuwe na UPEO wa kuangalia nje ya MIPAKA yetu na kujua LISEMWALO au LINALOPANGWA...

Sasa ni kwanini tuwe na TV; RADIO kama hatutaki kuyasikia ya NJE ya MIPAKA YETU????

Mkuu nngu007,
Tatizo sio kubandika au kutokutaka kuona ya mtandao wa M23, tatizo ni kutokuweka wazi kwenye kichwa cha habari au kabla/baada ya hiyo post kuelezea kuwa hiyo ni propaganda toka mtandao wa M23.

Unapo-post kama vile imetoka BBC, baadhi ya wasiolewa watachukulia kilichoandikwa kuwa ni ukweli kwani hawajui kuwa Congodrcnews.com ndio M23.
 
CONGODRC NEWS



Why? Why? Why this Injustice in Congo? Every one must check this

Massacre de Rumangabo Par Joseph Kabila



Zuma and His SANDF ready To Help Kabila and Kikwete to do This In DRC CONGO – MUST SEE

I cant Understand how Zuma and Kikwete want to fight when they are in good position to put pression on Kabila in order to get a political solution and not Military. ARE SNADF AND TANZANIAN SOLDIERS RAEDY TO JOIN FORCE WITH FARDC (CONGO GOVERMENT ARMY KNOWN FOR RAPES AND THEIR CRIMINALITIES AGAINST CIVILIANS)? WILL ZUMA AND KIKWETE BE RESPONSIBLE FOR ALL CRIMES WHICH WILL BE COMMITTED ON THE BATTLE FIELD? DO THEY THINK THAT IT WILL BE EASY FOR THEM TO FINISH M23 FREEDOM FIGHTERS (ACCUSED TO BE TUTSIS)? DO THEIR THINK THAT IT IS FOR SOME ONE TO PUT HIS GUN DOWN WHEN HE KNOWS THAT HIS KILLER IS NEAR?

Sory for showing these picture and Video, We just want to show How African leader are Ready to scarify us for their own interest.

Phil Moore / AFP – Getty Images
The bodies of two alleged M23 fighters are dumped out of the back of a pickup truck by Congolese Army soldiers in the village of Rusayo on July 16, 2013 during a press visit. According to the army, one of the men was Ugandan and the other Rwandan, but they could not produce the identity cards that they claimed to have seen proving this.




simone schlindwein : FARDC soldiers playing around with dead #M23 bodies on the frontline. is this acc to the code of conduct?




A man accused by the Congolese Army of being a spy of rebels of the M23 movement is tied and taken away on July 16, 2013 in Munigi on the outskirts of Goma in the east of the Democratic Republic of the Congo. The army in the Democratic Republic of Congo on July 16 pursued an offensive against rebels of the M23 movement to protect the North Kivu provincial capital of Goma. M23, a movement launched by Tutsi defectors from the army who accuse the Kinshasa government of reneging on a 2009 peace deal, last year occupied Goma for 10 days before pulling out under international pressure. PHIL MOORE/AFP/Getty Images



Why When Tutsi or Banyarwanda community in Congo are being killed by Congo government in Goma and The UN doesn’t condemn it?


Why Tutsi tribes and all Banyarwanda communities are being arrested in Goma In the eyes of UN soldiers without any reactions from the International communities?


Why Tutsi are being Kidnapped in Goma and Yet UN staffs in Goma are silent?


Why when Banyamulenge (Tutsi ) were killed in Gatumba, UN didn’t’ condemn the Killers?


Why when they know that Congo government doesn’t want Banyarwanda and need this community to be chased out of Congo, and instead of UN to stop it, they are helping this government to kill Tutsis?


Why this UN knows that Hutu genocidal are fighting alongside with FARDC yet this rubbish Monusco is helping them to kill civilians?


Why when FARDC bombs civilians in Goma UN put it on M23 shoulder?


Why UN is working together with the Congo government battalion which raped 120 girls aged 6 years in MINOVA as reported by France 24 and some NGO, and raped 70 women in Katanga as reported by OCHA


Why UN has made a coalition with those who committed genocide in Rwanda against Tusti, is it because UN has an agenda to kill Congolese Tustis?


Why is the UN supporting terrorists in Syria when they fight their government, and in Congo they fight M23 because they are protecting themselves against their killers and the most corrupt government in the world?


Why M23 Need a political solution for Congo trough peace talks, but France, Jacob Zuma and Kikwete Want war? Is it because Zuma and his nephew Kulubuse Zuma are Doing dark oil Business with Joseph kabila in DRC? Is it because Kabila has invested in Tanzania with all what he has looted in DRC? Is it because After Killing Tutsi in Rwanda, France what to kill Tutsis in Congo?


Why Are they Condamning M23 for recruting child soldiers without proof, but can’t condemn Hamas terrorists for using children in their campaign against sons of Jacob and king David?


Why John Kerry Condemned Rwanda after the allegation that Rwanda is supporting M23. But can’t condemn himself for helping terrorists in Syria who are fighting the dictator Assad. Is it because they have to do whatever they want in this world without any one who can condemn them?


Why does USA government has the right to follow their enemies wherever they are, But if others get accused false fully for attacking they enemies in other country they get sanctions?


Why are they condemning M23 for crimes it has not committed, but never condemning Joseph Kabila and his administration for all his crimes. May be they will condemn him for the killings he committed on Saturday in Katale, Kibumba and Buvuga, where he killed 16 children and women. Wonder how they will condemn their ally who is helping them loot Congo Minerals?


Here we go with Joseph Kabila criminalities in the DRC?

Victims of kabila Bombardements in Rumangabo



Joseph kabila Helped By UN bombed civilians in Rumangabo eastern DRC





Victims of Joseph kabila and FDLR Hutu genocidals from Rwanda Helped By UN in Rumangabo eastern DRC


Massacre de Rumangabo Par Joseph Kabila

Tonigh we will publish More photos of Yesterday killings by the Evil Coalition of FARDC, SANDF, TZ FORCES, HUTU MILITIANS FDLR and MONUSCO helped by UN.


Meanwhile below is the Video which was published by France 24 television, Inside the video some women in congo were sodomised by FARDC. and some got blow job and UN is helping these Criminals. why? because these SANDF and MONUSCO soldiers are also known for raping woman in Congo. ”Birds of the same feathers flock together”
hivi watu huwa hamuelei maana ya umoja wa mataifa..................tz haijapeleka jeshi drc bali umoja wa mataifa ndio umeomba wanajeshi wa meba states coz yenyewe kama un haina jeshi...........tazama lebel zao wanazovaaaa, acheni propaganda nyinyi watu
 
MBONA UNAHANGAIKA BURE....ARGUE FACTS siyo unahisi utanipumbaza kwa kuniita mnyarwanda...jina la kibantu hilo...hivi jamani watz nani katuroga..hizo ndo hadith nakuta migration,mashuleni nasehem nyingine nyingi tu tz....jina lianze vyovyote vile has nothing to do with ma nationality...wenzako wanaoitwa mandela,obama nk niwazuru wa SA au wajaruo wa Kenya?huna uwezo wa kufikiri sipotezi muda na wewe.....
GOD BLESS EAC

We sio m bongo banaa acha kujibalaguza wakati mwenyewe unajisema. Kama we ni mbongo basi mnafiki kama sio kibaraka au la unachuki binafsi na mkuu wa kaya. Ila kumbuka, huwez kutushawishi tukuamin kwa kusema tu kuwa wewe ni mtz
 
We sio m bongo banaa acha kujibalaguza wakati mwenyewe unajisema. Kama we ni mbongo basi mnafiki kama sio kibaraka au la unachuki binafsi na mkuu wa kaya. Ila kumbuka, huwez kutushawishi tukuamin kwa kusema tu kuwa wewe ni mtz

mtazamo wangu ndo unaniongoza daima...sihitaji kutumia muda mwingi kukushawishi....ni dhambi kusaliti nchi yangu ila si dhambi kuwa na mtazamo tofauti na unaye mwita mkuu wa kaya....tatizo ni either haujijui au basi tu ni limbukeni unavamia vitu vinavozidi uwezo wako wa kufikiri...angalieni sana hii mitandao ya kijamii si ya kuingia hata kama huna akili timamu....huku hizi maneno za chuki na chochoko huwa zinakuwa censored lakini kwa kuwa ni jamvi la waswahili hata kenge wamo ndani na wanaharibu msafara mods wakiona tu....

Kagame kagame m23 watutsi nk.... ndo order of the day kuna mambo mengine ambayo hasa ya direct impact kwetu lakini hatuna uelewa wa kuyazungumzia badala yake tunakurupukia mambo ambayo hayatuhusu kabisa ila kwa sababu ni yenye kuhusisha chuki ndo tunaona deal....kaa ukijua hatuna mtizamo wa kitanzania kila mtu ana mtizamo wake katika mabo fulani..kama unajua kuna mtizamo wa ki-tz hujielewi na kama una umri mdogo nenda shule sijadili mambo na mbumbumbu utachekwa...

MUNGU BARIKI WATU WAKO
 
The DRC army is a ragtag undisciplined group of marauding looters and rapists. The UN chooses to turn a blind eye on their atrocities and blame everything on M23 which is highly disciplined and focused. Just look at those photos and how the Congolese army treats the dead. Reminds me of the stakes method used by the ex FAR and interahamwe murderers back in 94.
 
Back
Top Bottom