blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Hahahaaa....
Samahanini waungwana... mi mgeni humu! Kwani huyu Diamond bado anaendelea ku-trend? Nauliza hivi kwa sababu zamani sana wakati nasoma nilisikia anguko lake lilikuwa linakaribia! Au Diamond huyu sio yule aliyekuwa anatembelea nyota ya Wema?! Au tuendelee tu kusubiri kama tunavyosubiri kurejea kwa Yesu?!
Natanguliza shukrani zangu kwa atakayenielimisha!