Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aghalabu = mara nyingiIla Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni aghalabu Sana kutokea.
Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mungu anatupenda sanaIla Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni aghalabu Sana kutokea.
Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuuIla Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni aghalabu Sana kutokea.
Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Aghalabu???Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni aghalabu Sana kutokea.
Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mungu hakupi vyote na hakunyimi vyote, sisi tumenyimwa akili kitendo cha CCM kuendelea kututawala ni zaidi ya tetemeko na kimbungaIla Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni aghalabu Sana kutokea.
Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Aisee! Imegin mlikuwa mna kwich kwich alafu ngoma imetokea ghafla!?Imagine umeenda kuongeza matako uturuki af katikat ya procedure inapigwa tetemeko hospital inasambaratika halafu taifa linakua busy kuhudumia majeruhi wa tetemeko inabidi urudishwe bongo na matako nusu ya ulioenda nayo hapo ndio utajua umuhimu wa katiba mpya
Nimebadilisha mkuu.Aghalabu = mara nyingi
Nadra = mara chache
Katika sentensi yako neno aghalabu limetumika sehemu isiyo sahihi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aghalabu???