PICHA 30: Muonekano wa Miji ya Uturuki na Syria baada ya kupigwa na Tetemeko la Richa 7.8

PICHA 30: Muonekano wa Miji ya Uturuki na Syria baada ya kupigwa na Tetemeko la Richa 7.8

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
230206125636-28-earthquake-020623-hatay-turkey-restricted.jpg

230206131539-30-earthquake-020623-jandaris-syria.jpg

230206121834-32-earthquake-020623-malatya-tky.jpg

230206122224-35-earthquake-020623-hatay-tky.jpg

230206110705-21-earthquake-020623-diyarbakir-turkey.jpg

230206120516-25-earthquake-020623-idlib-syria.jpg

230206110151-20-earthquake-020623-hatay-turkey-restricted.jpg

230206105557-14-earthquake-020623-diyarbakir-turkey.jpg

230206120504-24-earthquake-020623-gaziantep-turkey-restricted.jpg

230206122808-36-earthquake-020623-besnia-syria.jpg

230206122157-34-earthquake-020623-adana-tky.jpg

230206110036-19-earthquake-020623-idlib-syria-restricted.jpg

230206105821-17-earthquake-020623-diyarbakir-turkey-restricted.jpg

230206074125-01-earthquake-020623-diyarbakir-turkey.jpg

230206115546-23-earthquake-020623-azaz-syria.jpg

230206074148-02-earthquake-020623-diyarbakir-turkey-restricted.jpg

230206074205-03-earthquake-020623-adana-turkey-restricted.jpg

230206074323-07-earthquake-020623-azmarin-syria.jpg
 
Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni Mara chache Sana kutokea.

Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.

Picha zinasikitisha Sana.
 
Imagine umeenda kuongeza matako uturuki af katikat ya procedure inapigwa tetemeko hospital inasambaratika halafu taifa linakua busy kuhudumia majeruhi wa tetemeko inabidi urudishwe bongo na matako nusu ya ulioenda nayo hapo ndio utajua umuhimu wa katiba mpya
 
Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni aghalabu Sana kutokea.

Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Aghalabu = mara nyingi

Nadra = mara chache

Katika sentensi yako neno aghalabu limetumika sehemu isiyo sahihi
 
Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni aghalabu Sana kutokea.

Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mungu anatupenda sana
 
Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni aghalabu Sana kutokea.

Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu
 
Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni aghalabu Sana kutokea.

Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Aghalabu???
 
Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni aghalabu Sana kutokea.

Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mungu hakupi vyote na hakunyimi vyote, sisi tumenyimwa akili kitendo cha CCM kuendelea kututawala ni zaidi ya tetemeko na kimbunga
 
Imagine umeenda kuongeza matako uturuki af katikat ya procedure inapigwa tetemeko hospital inasambaratika halafu taifa linakua busy kuhudumia majeruhi wa tetemeko inabidi urudishwe bongo na matako nusu ya ulioenda nayo hapo ndio utajua umuhimu wa katiba mpya
Aisee! Imegin mlikuwa mna kwich kwich alafu ngoma imetokea ghafla!?
 
Hapa ndipo ukomo wa Sayansi yetu hufikia, Sayansi bado haijaweza kutabiri ukubwa wa tetemeko siku chache kabla, kila siku tunawaambia wanadamu wabishi kwamba huu Ulimwengu tunaujua kwa 3% tu, 97% hatujui lolote.

Mungu tuepushe haya majanga, imagine itokee pale Posta mpya si tutazika mamillion ya watu.
 
Back
Top Bottom