PICHA 30: Muonekano wa Miji ya Uturuki na Syria baada ya kupigwa na Tetemeko la Richa 7.8

PICHA 30: Muonekano wa Miji ya Uturuki na Syria baada ya kupigwa na Tetemeko la Richa 7.8

Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni Mara chache Sana kutokea.

Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.

Picha zinasikitisha Sana.

hakika
 
Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni Mara chache Sana kutokea.

Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.

Picha zinasikitisha Sana.
Ni kweli kabisa mkuu.
 
Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni Mara chache Sana kutokea.

Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.

Picha zinasikitisha Sana.
The very fundamental units that cannot be derived any further are TIME, WEIGHT, and DISTANCE.

Like in astronomy, in geology time is usually in terms of centuries for processes to complete and their effects to occur!

Hivyo, kwa Tanzania ni suala la muda tu whether this generation is alive or otherwise!

By the way inatajwa in a million years to come bara Afrika litagawanyika na kuzaa mabara mawili ambapo Tanzania itakuwa bara la upande wa mashariki.
 
Hivi katika halo watu walofariki sijasikia viongozi was nchi hiyo kufariki au wao walijificha wapi?
 
230206125636-28-earthquake-020623-hatay-turkey-restricted.jpg

230206131539-30-earthquake-020623-jandaris-syria.jpg

230206121834-32-earthquake-020623-malatya-tky.jpg

230206122224-35-earthquake-020623-hatay-tky.jpg

230206110705-21-earthquake-020623-diyarbakir-turkey.jpg

230206120516-25-earthquake-020623-idlib-syria.jpg

230206110151-20-earthquake-020623-hatay-turkey-restricted.jpg

230206105557-14-earthquake-020623-diyarbakir-turkey.jpg

230206120504-24-earthquake-020623-gaziantep-turkey-restricted.jpg

230206122808-36-earthquake-020623-besnia-syria.jpg

230206122157-34-earthquake-020623-adana-tky.jpg

230206110036-19-earthquake-020623-idlib-syria-restricted.jpg

230206105821-17-earthquake-020623-diyarbakir-turkey-restricted.jpg

230206074125-01-earthquake-020623-diyarbakir-turkey.jpg

230206115546-23-earthquake-020623-azaz-syria.jpg

230206074148-02-earthquake-020623-diyarbakir-turkey-restricted.jpg

230206074205-03-earthquake-020623-adana-turkey-restricted.jpg

230206074323-07-earthquake-020623-azmarin-syria.jpg

230206074303-06-earthquake-020623-aleppo-syria-restricted.jpg


230206074244-05-earthquake-020623-diyarbakir-turkey-restricted.jpg
Maisha si kitu
 
Hapa ndipo ukomo wa Sayansi yetu hufikia, Sayansi bado haijaweza kutabiri ukubwa wa tetemeko siku chache kabla, kila siku tunawaambia wanadamu wabishi kwamba huu Ulimwengu tunaujua kwa 3% tu, 97% hatujui lolote.

Mungu tuepushe haya majanga, imagine itokee pale Posta mpya si tutazika mamillion ya watu.
Ngoja ni mtag homeboy Kiranga
[emoji1]

Ova
 
Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni Mara chache Sana kutokea.

Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.

Picha zinasikitisha Sana.


Allahuma amiin thumma amiin.
الهم امين ثم امين
 
Kuna haja ya kujenga nyumba za karatasi ikiwezekana, karatasi ngumu.... science ya karatasi au plastixcks


Mwizi atakuacha salama, karatasi atachana, plastics atakuja na kisu na moto kutoboa tundu.
 
Wale chawa Wana bahati si walikuwa huko na mitaulo yao kufanyiwa surgery ya makalio?
 
Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni Mara chache Sana kutokea.

Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.

Picha zinasikitisha Sana.
Kabisa kabisa ,tungekua walala hoi zaidi naziaidi !
 
Hapo kuna kitu kinaitwa "stealing from the deed" lazima kitokee. Unakuta marehemu amekufa na kibunda wahuni lazima wakichomoe alafu wanakisunda sirini
 
Back
Top Bottom