Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
AmeenMkono wa Bwana uendelee kuwa juu ya taifa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmeenMkono wa Bwana uendelee kuwa juu ya taifa hili
Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni Mara chache Sana kutokea.
Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.
Picha zinasikitisha Sana.
Ni kweli kabisa mkuu.Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni Mara chache Sana kutokea.
Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.
Picha zinasikitisha Sana.
The very fundamental units that cannot be derived any further are TIME, WEIGHT, and DISTANCE.Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni Mara chache Sana kutokea.
Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.
Picha zinasikitisha Sana.
Mungu hakupi vyote na hakunyimi vyote, sisi tumenyimwa akili kitendo cha CCM kuendelea kututawala ni zaidi ya tetemeko na kimbunga
Maisha si kitu
Ngoja ni mtag homeboy KirangaHapa ndipo ukomo wa Sayansi yetu hufikia, Sayansi bado haijaweza kutabiri ukubwa wa tetemeko siku chache kabla, kila siku tunawaambia wanadamu wabishi kwamba huu Ulimwengu tunaujua kwa 3% tu, 97% hatujui lolote.
Mungu tuepushe haya majanga, imagine itokee pale Posta mpya si tutazika mamillion ya watu.
Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni Mara chache Sana kutokea.
Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.
Picha zinasikitisha Sana.
Kuna haja ya kujenga nyumba za karatasi ikiwezekana, karatasi ngumu.... science ya karatasi au plastixcks
Kuna haja ya kujenga nyumba za karatasi ikiwezekana, karatasi ngumu.... science ya karatasi au plastixcks
Vipi hali zao au walikuwa katika mji mwingineWale chawa Wana bahati si walikuwa huko na mitaulo yao kufanyiwa surgery ya makalio?
Kabisa kabisa ,tungekua walala hoi zaidi naziaidi !Ila Africa ususan Tanzania tumshukuru Sana Mungu matukio Kama haya kwetu ni Mara chache Sana kutokea.
Hali hii ya mchele aftatu na tunashindwa kumudu alafu vuta picha usiku haujakula Mara paap kibanda kinapitiwa na tetemeko kinaporomoka chote!! Mungu ni Kama ametupunguzia matatizo Africa.
Picha zinasikitisha Sana.
Amen Jemima Mrembo alafu sijui nikuite mweupe au mweusi avatar yako hata haielewekiMkono wa Bwana uendelee kuwa juu ya taifa hili