Picha Adimu za Wapigania Uhuru wa Tanganyika: Binti Khalfani wa Bukoba

Picha Adimu za Wapigania Uhuru wa Tanganyika: Binti Khalfani wa Bukoba

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
Picha hiyo hapo chini kaniletea kaka yangu Ramadhani Kingi kutoka Bukoba.

Huyu ndugu yangu ana hazina kubwa sana ya maandishi na picha ya historia ya uhuru wa Tanganyika katika Maktaba yake.

Picha hiyo hapo chini ni viongozi wa TANU wakiwa na Mwalimu Nyerere katika miaka ya mwanzo ya uhuru.

Huyo bi mkubwa wa kwanza kushoto ni Binti Khalfani.
Hii picha ilipigwa mwaka wa 1962.

Picha ya pili ni Bint Khalfani wa wazalendo wanawake wenzake wakiwa na Bi. Titi wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.

344347504_951880625839780_5774708334170942795_n.jpg
247255441_1049256555821722_731358672627045832_n.jpg

Viongozi wa akina Mama wa TANU kutoka kulia walioketi Mama Boi, Bibi Titi Mohammed na Bint Farahani. Waliosimama kutoka kulia Bint Kaijage, Bint Sheikh na Madanganyo Bint Saliboko Bukoba Mjini 1962.
Ndugu zangu hii ndiyo historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika iliyokuwa haifahamiki kwa miaka mingi na kwa ajili hii taifa likashindwa kuwaadhimisha mashujaa wake.

 
Picha hiyo hapo chini kaniletea kaka yangu Ramadhani Kingi kutoka Bukoba.

Huyu ndugu yangu ana hazina kubwa sana ya maandishi na picha ya historia ya uhuru wa Tanganyika katika Maktaba yake.

Picha hiyo hapo chini ni viongozi wa TANU wakiwa na Mwalimu Nyerere katika miaka ya mwanzo ya uhuru.

Huyo bi mkubwa wa kwanza kushoto ni Binti Khalfani.

344347504_951880625839780_5774708334170942795_n.jpg
Huyo mwalimu na hao wajomba zako wa kariakoo walikua na Shobo tu hawakupaswa kudai Uhuru mapema tulikua bado hatujaweza kujitawala
Shobo zao za kujifanya wajuaji ndio umelifikisha taifa hapa
 
Kunamuda hua nawaza kwamba

Ilikuwaje Mandela akapata taarifa sahihi kuhusu ujamaa na aliishi gerezani umri wake wote wa uzalishaji
 
Yoda,
Picha hiyo kama nilivyoandika kaniletea ndugu yangu.

Nitakuwekea picha nyingine uangalie labda tunaweza kuona mwelekeo ulikuwaje.
Yoda,

PICHA ZA BI. TITI MOHAMED KUTOKA BUKOBA 1962
Nimepokea picha mbili kutoka Bukoba kwa kaka na rafiki yangu Ramadhani Kingi.
Kingi kaeleza hapa jamvini masikitiko yake kuhusu yale yaliyowafika Ali Migeyo na Bi. Titi.
Nitamweleza Ali Migeyo kwa muhtasari tu na sitatia neno langu nitamleta hapa barzani Dr. Michael Lugazia mumsikilize.
Hii ni miaka ya mwanzoni 1950 wakati wa TAA bado haijaundwa TANU:
''Ukitazama mwelekeo wa siasa na mazingira ya wakati ule, uongozi wa wazee katika TAA, kwa hali yao na kutokana na mambo yaliyokuwa yakiwakabili, walikuwa hawana uwezo wa kukabiliana na changamoto ya ukoloni.
Lakini pamoja na yote hayo, wazee hawakutaka kuachilia madaraka. Jambo hili lilizusha mvutano baina ya wazee na wanasiasa vijana waliosomeshwa na himaya ya Waingereza.
Vijana hawa walikuwa akina Abdulwahid na Ally Sykes, Tewa Said Tewa, Stephen Mhando, Dossa Aziz, James Mkande, na wale madaktari watano - Joseph Mutahangarwa, Luciano Tsere, Michael Lugazia, Vedasto Kyaruzi na wengineo. Haya yalikuwa ni mapambano baina ya kizazi kipya na kile cha kale.''
Hii ni bashraf kutoka kitabu cha Abdul Sykes.
Sasa msome Dr. Lugazia akiandika kutoka Makao Makuu ya TAA New Street:
''Dr Lugazia alikuwa anatoka Bukoba, alitaka kuhakikisha kuwa viongozi wa TAA kutoka nyumbani kwao hawapitwi na mkutano ule muhimu wa kuunda TANU.
Dr Lugazia alichukua juhudi za makusudi kupeleka rasimu ya katiba ya TANU kwa tawi la Bukoba.
Lakini baada ya kukamatwa kwa Migeyo, TAA ilikuwa imepoteza uhai wake. Hakuna mtu aliyeweza kuwasha tena moto aliouwasha Migeyo.
Barua muhimu ya mwaliko iliyoandikiwa TAA Bukoba na Dr Lugazia ikiambatanisha katiba ya TANU ambayo ilitakiwa kujadiliwa katika mkutano uliokuwa uitishwe Dar es Salaam haikushughulikiwa.
Hii ndiyo sababu katika mkutano wa kuasisi TANU mwaka 1954 Bukoba haikuwakilishwa.''
Bukoba haikuwakilishwa kwa kuwa Ali Migeyo alipigwa mabomu na wakoloni, akakamatwa akashitakiwa na kufungwa jela Butimba.
Uhuru ukapatikana mwaka wa 1961.
Mwaka wa 1965 Migeyo akakamatwa na kufungwa Jela ya Ukonga na serikali aliyopiginia yeye mwenyewe kwa damu na jasho lake kuiweka madarakani.
PICHA 1:
Viongozi wa akina Mama wa TANU kutoka kulia walioketi Mama Boi, Bibi Titi Mohammed na Bint Farahani. Waliosimama kutoka kulia Bint Kaijage, Bint Sheikh na Madanganyo Bint Saliboko Bukoba Mjini 1962.
PICHA 2:
Baraza la wazee wa TANU Bukoba na Bibi Titi walioketi kutoka kulia Maalim Idd Kombo kampakata mwanawe, Bibi Titi Mohammed, Mzee Ali Migeyo Waliosimama kutoka kulia Shaaban Mserengeto, Mzee Ali Kagire, Juma Mwanandege, jina ninesahau, koti jeusi RAJABU Kasheijege, jina nimesahau, Bint Mwanandege, Maalim Majuto Lubangula, Jaafary Rwabyo mbele ya Jaafary ni Amri Babakas, mwisho jina nimesahau.
(Maelezo na picha kutoka kwa Ramadhani Kingi).

247255441_1049256555821722_731358672627045832_n.jpg

247190210_1049256949155016_6306740440715066072_n.jpg

247199665_1049260715821306_6163777919270947164_n.jpg

Ali Migeyo​
 
Huyo mwalimu na hao wajomba zako wa kariakoo walikua na Shobo tu hawakupaswa kudai Uhuru mapema tulikua bado hatujaweza kujitawala
Shobo zao za kujifanya wajuaji ndio umelifikisha taifa hapa
😂😂😂Aaalaah!!!
 
Picha hiyo hapo chini kaniletea kaka yangu Ramadhani Kingi kutoka Bukoba.

Huyu ndugu yangu ana hazina kubwa sana ya maandishi na picha ya historia ya uhuru wa Tanganyika katika Maktaba yake.

Picha hiyo hapo chini ni viongozi wa TANU wakiwa na Mwalimu Nyerere katika miaka ya mwanzo ya uhuru.

Huyo bi mkubwa wa kwanza kushoto ni Binti Khalfani.
Hii picha ilipigwa mwaka wa 1962.

Picha ya pili ni Bint Khalfani wa wazalendo wanawake wenzake wakiwa na Bi. Titi wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.

344347504_951880625839780_5774708334170942795_n.jpg
247255441_1049256555821722_731358672627045832_n.jpg

Viongozi wa akina Mama wa TANU kutoka kulia walioketi Mama Boi, Bibi Titi Mohammed na Bint Farahani. Waliosimama kutoka kulia Bint Kaijage, Bint Sheikh na Madanganyo Bint Saliboko Bukoba Mjini 1962.
Ndugu zangu hii ndiyo historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika iliyokuwa haifahamiki kwa miaka mingi na kwa ajili hii taifa likashindwa kuwaadhimisha mashujaa wake.

Picha hiyo hapo chini kaniletea kaka yangu Ramadhani Kingi kutoka Bukoba.

Huyu ndugu yangu ana hazina kubwa sana ya maandishi na picha ya historia ya uhuru wa Tanganyika katika Maktaba yake.

Picha hiyo hapo chini ni viongozi wa TANU wakiwa na Mwalimu Nyerere katika miaka ya mwanzo ya uhuru.

Huyo bi mkubwa wa kwanza kushoto ni Binti Khalfani.
Hii picha ilipigwa mwaka wa 1962.

Picha ya pili ni Bint Khalfani wa wazalendo wanawake wenzake wakiwa na Bi. Titi wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.

344347504_951880625839780_5774708334170942795_n.jpg
247255441_1049256555821722_731358672627045832_n.jpg

Viongozi wa akina Mama wa TANU kutoka kulia walioketi Mama Boi, Bibi Titi Mohammed na Bint Farahani. Waliosimama kutoka kulia Bint Kaijage, Bint Sheikh na Madanganyo Bint Saliboko Bukoba Mjini 1962.
Ndugu zangu hii ndiyo historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika iliyokuwa haifahamiki kwa miaka mingi na kwa ajili hii taifa likashindwa kuwaadhimisha mashujaa wake.

Mohamed: kama ni 1962 mbona uhuru ulikuwa tayari! Au uhuru katika ndoa zao !
 
Picha hiyo hapo chini kaniletea kaka yangu Ramadhani Kingi kutoka Bukoba.

Huyu ndugu yangu ana hazina kubwa sana ya maandishi na picha ya historia ya uhuru wa Tanganyika katika Maktaba yake.

Picha hiyo hapo chini ni viongozi wa TANU wakiwa na Mwalimu Nyerere katika miaka ya mwanzo ya uhuru.

Huyo bi mkubwa wa kwanza kushoto ni Binti Khalfani.
Hii picha ilipigwa mwaka wa 1962.

Picha ya pili ni Bint Khalfani wa wazalendo wanawake wenzake wakiwa na Bi. Titi wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.

344347504_951880625839780_5774708334170942795_n.jpg
247255441_1049256555821722_731358672627045832_n.jpg

Viongozi wa akina Mama wa TANU kutoka kulia walioketi Mama Boi, Bibi Titi Mohammed na Bint Farahani. Waliosimama kutoka kulia Bint Kaijage, Bint Sheikh na Madanganyo Bint Saliboko Bukoba Mjini 1962.
Ndugu zangu hii ndiyo historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika iliyokuwa haifahamiki kwa miaka mingi na kwa ajili hii taifa likashindwa kuwaadhimisha mashujaa wake.

Hawana hata Hijabu!
 
Yoda,

PICHA ZA BI. TITI MOHAMED KUTOKA BUKOBA 1962
Nimepokea picha mbili kutoka Bukoba kwa kaka na rafiki yangu Ramadhani Kingi.
Kingi kaeleza hapa jamvini masikitiko yake kuhusu yale yaliyowafika Ali Migeyo na Bi. Titi.
Nitamweleza Ali Migeyo kwa muhtasari tu na sitatia neno langu nitamleta hapa barzani Dr. Michael Lugazia mumsikilize.
Hii ni miaka ya mwanzoni 1950 wakati wa TAA bado haijaundwa TANU:
''Ukitazama mwelekeo wa siasa na mazingira ya wakati ule, uongozi wa wazee katika TAA, kwa hali yao na kutokana na mambo yaliyokuwa yakiwakabili, walikuwa hawana uwezo wa kukabiliana na changamoto ya ukoloni.
Lakini pamoja na yote hayo, wazee hawakutaka kuachilia madaraka. Jambo hili lilizusha mvutano baina ya wazee na wanasiasa vijana waliosomeshwa na himaya ya Waingereza.
Vijana hawa walikuwa akina Abdulwahid na Ally Sykes, Tewa Said Tewa, Stephen Mhando, Dossa Aziz, James Mkande, na wale madaktari watano - Joseph Mutahangarwa, Luciano Tsere, Michael Lugazia, Vedasto Kyaruzi na wengineo. Haya yalikuwa ni mapambano baina ya kizazi kipya na kile cha kale.''
Hii ni bashraf kutoka kitabu cha Abdul Sykes.
Sasa msome Dr. Lugazia akiandika kutoka Makao Makuu ya TAA New Street:
''Dr Lugazia alikuwa anatoka Bukoba, alitaka kuhakikisha kuwa viongozi wa TAA kutoka nyumbani kwao hawapitwi na mkutano ule muhimu wa kuunda TANU.
Dr Lugazia alichukua juhudi za makusudi kupeleka rasimu ya katiba ya TANU kwa tawi la Bukoba.
Lakini baada ya kukamatwa kwa Migeyo, TAA ilikuwa imepoteza uhai wake. Hakuna mtu aliyeweza kuwasha tena moto aliouwasha Migeyo.
Barua muhimu ya mwaliko iliyoandikiwa TAA Bukoba na Dr Lugazia ikiambatanisha katiba ya TANU ambayo ilitakiwa kujadiliwa katika mkutano uliokuwa uitishwe Dar es Salaam haikushughulikiwa.
Hii ndiyo sababu katika mkutano wa kuasisi TANU mwaka 1954 Bukoba haikuwakilishwa.''
Bukoba haikuwakilishwa kwa kuwa Ali Migeyo alipigwa mabomu na wakoloni, akakamatwa akashitakiwa na kufungwa jela Butimba.
Uhuru ukapatikana mwaka wa 1961.
Mwaka wa 1965 Migeyo akakamatwa na kufungwa Jela ya Ukonga na serikali aliyopiginia yeye mwenyewe kwa damu na jasho lake kuiweka madarakani.
PICHA 1:
Viongozi wa akina Mama wa TANU kutoka kulia walioketi Mama Boi, Bibi Titi Mohammed na Bint Farahani. Waliosimama kutoka kulia Bint Kaijage, Bint Sheikh na Madanganyo Bint Saliboko Bukoba Mjini 1962.
PICHA 2:
Baraza la wazee wa TANU Bukoba na Bibi Titi walioketi kutoka kulia Maalim Idd Kombo kampakata mwanawe, Bibi Titi Mohammed, Mzee Ali Migeyo Waliosimama kutoka kulia Shaaban Mserengeto, Mzee Ali Kagire, Juma Mwanandege, jina ninesahau, koti jeusi RAJABU Kasheijege, jina nimesahau, Bint Mwanandege, Maalim Majuto Lubangula, Jaafary Rwabyo mbele ya Jaafary ni Amri Babakas, mwisho jina nimesahau.
(Maelezo na picha kutoka kwa Ramadhani Kingi).

247255441_1049256555821722_731358672627045832_n.jpg

247190210_1049256949155016_6306740440715066072_n.jpg

247199665_1049260715821306_6163777919270947164_n.jpg

Ali Migeyo​
Hayo majina yote ni ya watu wa mwambao, wala hata sio Bukoba kabisa
 
Picha hiyo hapo chini kaniletea kaka yangu Ramadhani Kingi kutoka Bukoba.

Huyu ndugu yangu ana hazina kubwa sana ya maandishi na picha ya historia ya uhuru wa Tanganyika katika Maktaba yake.

Picha hiyo hapo chini ni viongozi wa TANU wakiwa na Mwalimu Nyerere katika miaka ya mwanzo ya uhuru.

Huyo bi mkubwa wa kwanza kushoto ni Binti Khalfani.
Hii picha ilipigwa mwaka wa 1962.

Picha ya pili ni Bint Khalfani wa wazalendo wanawake wenzake wakiwa na Bi. Titi wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.

344347504_951880625839780_5774708334170942795_n.jpg
247255441_1049256555821722_731358672627045832_n.jpg

Viongozi wa akina Mama wa TANU kutoka kulia walioketi Mama Boi, Bibi Titi Mohammed na Bint Farahani. Waliosimama kutoka kulia Bint Kaijage, Bint Sheikh na Madanganyo Bint Saliboko Bukoba Mjini 1962.
Ndugu zangu hii ndiyo historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika iliyokuwa haifahamiki kwa miaka mingi na kwa ajili hii taifa likashindwa kuwaadhimisha mashujaa wake.

Hawa walikuwa viongozi baada ya uhuru au walipigania uhuru?
 
Tangawizi,
Viongozi wengi waliokuwa madarakani walitoka katika waliopigania uhuru na wengine kutoka serikali ya kikoloni.
Mzee, picha unazoleta ni picha nzuri. Zimesheheni mambo mengi ya historia. Zimejaa mafunzo. nakushukuru.

Ila sasa, shida yako ni kuwa hadithi zake ziko biased. Zinabeba taswira ya udini. Message yake ni kuwa bila ushiriki wa dini yako, tusingepata uhuru.

Siku moja moja sio vibaya kujidanganya nafsi lakini.. 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom