Picha ama avatar na jina vinasadifu tabia na wajihi Wa mtu

Picha ama avatar na jina vinasadifu tabia na wajihi Wa mtu

Ila Dj Sepetu alijuaga sana kuichangamsha jf miaka ya 2016 na 20017.

Sidhani kama itajirudia tena ile jf mana kulikuwa na nyuzi za Interview ambazo zilikuwa hazitupiti 🤣🤣

Cc. ukhuty.
Aliiteka chitchat , zile nyuzi zake za Interview nilikuwa nacheka sana nikipitia comments enzi hizo nikiwa guest.

Kuna wadau humu walikuwa wana mpa kashfa na vijembe kuwa anatega mitego ya kula watu kimasihara coz yeye nyuzi zake anadili na wanawake tu.
 
Back
Top Bottom