Picha: Amesema kama nampenda tushone hivi kwa gharama zake halafu twende kwao Sinza kwa miguu

Picha: Amesema kama nampenda tushone hivi kwa gharama zake halafu twende kwao Sinza kwa miguu

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Duh! Ila mabinti wa kishua hasa hawa wa 2000 wana matatizo gani lakini? Aliniambia atanipatia jibu, badala ya jibu akaniambia niingie WhatsApp, akanitumia picha, akaniambia kama kweli namtaka kimahusiano niwe tayari kuvaa hivi kwa gharama zake, kisha tutoke Kagera hadi Sinza kuanzia saa 10 jioni siku ya Jumapili

Mbususu yake naitaka ila masharti magumu sana, isitoshe mimi ni mwanaume wa mkoani, sio wa Dar
20241109_193758.jpg
 
Aahaha utaambiwa ushone na kitenge siku ya kutoa posa
 
Geje hazina adabuu...na hazijawahi mwanacha mwanaume salama...😅
 
Duh! Ila mabinti wa kishua hasa hawa wa 2000 wana matatizo gani lakini? Aliniambia atanipatia jibu, badala ya jibu akaniambia niingie WhatsApp, akanitumia picha, akaniambia kama kweli namtaka kimahusiano niwe tayari kuvaa hivi kwa gharama zake, kisha tutoke Kagera hadi Sinza kuanzia saa 10 jioni siku ya Jumapili

Mbususu yake naitaka ila masharti magumu sana, isitoshe mimi ni mwanaume wa mkoani, sio wa DarView attachment 3147984
Soon utabanduliwa
 
Back
Top Bottom