Picha: Aunt Ezekiel apasuliwa na chupa kwa kugombea bwana


Alifata heeelaaa....mengine kwa jeff....hahaha. .
 
Wanakinaisha tu wapuuzi,daily maskendo ya ajabu ajabu..ama ndio usuperstar wenyewe ndio huu?pasuaneni tu mpaka sura ziwe hazifahi
 
Sasa kwanini uoleweeeee....ilhali hujamaliza umalaya.shule nazo zinasaidia jamani khaaa
 
ahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaa_miss strong...dada langu.

Ilumbu gwangu ofwaaaaaaaaaaa.......kama anajijua kila mwisho wa mwezi anapata mshahara uleee basi mkono kwa mkono.
 
Na bado mshahara wa dhambi haujakukalia vizuri kila raha ina karaha ukishindwa sana NILIPO mashamba kibao use ulime
 
Lazima atakuwa ni yule kiboko ya mabishoo maana anawapelekesha sana
 
Mwenyewe anajisifu kkwamba ametoa mimba nyingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…