warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Msanii wa nyota wa kiwanda cha filamu Bongo, Aunty Ezekiel na mbongo fleva, Kassim Mganga wamepata nafasi ya kutembelea ubalozi wa Tanzania uliopo mjini Washington Dc nchini Marekani na kupata fursa ya kupiga picha na baadhi ya watanzania waishio huko.