Ni shedaa kaenda kutengeneza movie ninii??
Ata haieleweki, mara tunawaona na kassim wote wanajipiga ma selifi yani full shidaa uko marekan watakoma, na hyo cheusi dawa aangalie asije kupitiliza mda wa kukaa uko akapewa ban kama shoga yake mama ubaya sasa ivi ulaya anaisikia instagram
Alipitiliza muda wa kukaa usa akapewa ban takatifu ya kutokukanyaga kule, we unadhan mama ubaya anavyopenda sifa si angekuwa kashaenda? Maana kuna dada yake anaishi uko so nw kushnei
Ni shedaa kaenda kutengeneza movie ninii??
Yaani walisema wanaenda sijui Kwenye sherehe gani sijui hata havieleweki Yaani usanii mtupu.halafu niliona picha nyingine kapiga hapo ubalozi na pajama zile za wakati wa Baridi Yaani alikua Kama Mchezo shoo wa twanga pepeta.halafu kwanini wanapiga piga picha.yaani full ushamba.
Hivi wanaenda US kufanya deal gani hawa? Au mapoda?
Yaani walisema wanaenda sijui Kwenye sherehe gani sijui hata havieleweki Yaani usanii mtupu.halafu niliona picha nyingine kapiga hapo ubalozi na pajama zile za wakati wa Baridi Yaani alikua Kama Mchezo shoo wa twanga pepeta.halafu kwanini wanapiga piga picha.yaani full ushamba.
Kwa mala ya kwanza msanii wa kike kapiga picha ubalozin USA,
(Wapo wapi siku hizi hao ma reporter?)
Wema kishazoea kwenda usa .
kweli ujinga mzigo