Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ya zamani sana hahahaMfugale imejengwa mwaka gani?
Flyover ya kwanza duniani ilijengwa Holburn UK mwaka 1863
Miaka 159 iliyopita
Mfugale [emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya zamani sana hahahaMfugale imejengwa mwaka gani?
Tozo Iwekwe Kwenye Pumzi ChapTOZO vp nazo tuongeze?
Kwanini nchi za kiafrika hazina mijengo Ya mifano kama hiyo? Kazi kuigana tu na madirisha ya aluminium tu
hahahaaaaaKama Chato?
teh teh tehKama una kadi pamoja na ilani jiandikishe twende tukamzike
hahahaaaaMfugale imejengwa mwaka gani?
Na kujisifu kwiiiingiKwanini nchi za kiafrika hazina mijengo Ya mifano kama hiyo? Kazi kuigana tu na madirisha ya aluminium tu
[emoji28][emoji28][emoji3]Tofautisha Kati ya Nchi na mkusanyiko wa watu mkuu
SawaKwasasa Wimbo Wa Taifa Wa Uingereza Utabadilishwa
Na Pesa Yao Pia Kutokana Na Kifo Cha Malkia
Anayechukua Majukumu Ni Mfalme
God Save The Queen, Itakuwa God Save The King
Ilianza kujengws 1853 na kumalizika 1856.Ukute umejengwa miaka 100 iliyopita na bado iko poa, wenzetu wako vizuri sana!
Haya ni majengo ya miaka ya 1800..Sasa mkuu hiyo miaka sisi tulikuwa wapi? Nami angejenga...mfano wa majengo hayo ni Ikulu yetu ambayo alijenge nadhani Mjerumani...Kwanini nchi za kiafrika hazina mijengo Ya mifano kama hiyo? Kazi kuigana tu na madirisha ya aluminium tu
Sasa hivi hizo ramani hazipatikani nini?Haya ni majengo ya miaka ya 1800..Sasa mkuu hiyo miaka sisi tulikuwa wapi? Nami angejenga...mfano wa majengo hayo ni Ikulu yetu ambayo alijenge nadhani Mjerumani...
Kuna kitu kinashindikana Mkuu! Ukitaka kujenga Kasri kama hilo mwambie architect wako tu.Sasa hivi hizo ramani hazipatikani nini?