Kweli matunda ya maridhiano tumeyaona, kutekwa na kupotezwa kwa Kipanya,Soka na wenzake,Sativa,Dogo Chaula,Mauaji ya kikatili ya Mzee Kibao, uchafuzi wa serikali za mitaa hakika haya ni matunda ya maridhiano binafsi kati ya Sultan Mbowe na Chief Hangaya.Wapigakura wapo kimya wanafaidi matunda ya maridhiano.
Nawafikiria waliokufa kukipigania chama chini ya huyu mzee 😪Kamanda ameingia kwenye maridhiano yanayo mnufaisha yeye tu!
Watakuwa wametekwa na lissu?Kweli matunda ya maridhiano tumeyaona, kutekwa na kupotezwa kwa Kipanya,Soka na wenzake,Sativa,Dogo Chaula,Mauaji ya kikatili ya Mzee Kibao, uchafuzi wa serikali za mitaa hakika haya ni matunda ya maridhiano binafsi kati ya Sultan Mbowe na Chief Hangaya.
Wivu tuMfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
View attachment 3197203
Inasikitisha sana.Nawafikiria waliokufa kukipigania chama chini ya huyu mzee 😪
Mangi hayo hayamhusu.Kweli matunda ya maridhiano tumeyaona, kutekwa na kupotezwa kwa Kipanya,Soka na wenzake,Sativa,Dogo Chaula,Mauaji ya kikatili ya Mzee Kibao, uchafuzi wa serikali za mitaa hakika haya ni matunda ya maridhiano binafsi kati ya Sultan Mbowe na Chief Hangaya.
Inasikitisha sana yaani sanaNawafikiria waliokufa kukipigania chama chini ya huyu mzee 😪