Picha: Bifu la Diva na Sintah, Wema aingilia kati

Picha: Bifu la Diva na Sintah, Wema aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Huyo Diva mbona kama zuzu kuweka email za zzk ndio nini? Ni sifa kwamba umetembea na zitto? Yeye kashakukana kama hajawahi kuwa na wewe kabisa au unatafuta kiki kwa GK kwamba ulimwambia zitto alikuwa mpenzi wako ukamuacha yeye ukaenda kwake (GK) kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kwamba umefata mapenzi na si pesa? Kapime Vina Vikali Usipime maana huyo Zana Za Kilimo unayemng'ang'ania umetembea nae Job true true!!
hawa warembo ni vicheche,yupo na GK na bado anamwaza Zitto
 
Huyo Diva katumwa na Mbowe kumchafua Zito! ha ha ha

Acha ushabiki wa kipuuzi hata kama humpendi Mbowe ingekuwa diva hajulikani na watu tabia yake ilivo mbovu ungesema kwahyo na kugegedana walitumwa mxiiiiew think big
 
Kutana nae sasa kaji piga editings za camera 360 uta data. Kumbe mbovu
 

Attachments

  • 1409381308196.jpg
    1409381308196.jpg
    64.7 KB · Views: 369
Pumbavu zaoo wao wana udogo gani mpaka wamuone sinta Mkubwa, wao wana ninii haswaa mfyuuuuuuuu
Wao wenyewe wazeee kila siku kurudisha miaka nyuma mbona wao wanazeeka lakini sinta bado mzuriiii,ana blog acha aandikee maana diva unapenda kuandikwaaa huna lolote umemiss mafungu ya zito kwa Gk umeyakosa atakupa nini zaidi kukuhip hop ndaniii

nasema hivi dada umri ungekuwa unahesabika kama km za gari yaani itumikavyo ndo inazeeka nani mzee hapo?
 
Gk yupo busy kuangua mapera



Dinazarde

Hahahahahah umenichekeshaje.. yaani katika vitu zito anajutia ni kuwa na huyu dada aisee .probably t was hit n run ila bi dada kaikomalia..Gk should take notes he's next kudhalilishwa hivi
 
Last edited by a moderator:
Hiyo drama ilikuwepo pia twitter plus drama zake nyingine za instagram imepelekea mwanadada Diva kufungiwa account yake ya twitter baada ya kuriportiwa kuwa ni spam.. Diva she is no longer there .. sijui GK huwa hamshauri vya kupost huyu.. saaa emails za mwaka jana yeye zanini
 
huyu sintah amezidi naye. blog yake siku hizi imejaa udaku tu.

Hata Shigongo naye magazeti yake ni ya udaku tu na anatajirika hahaha wa muwache Sinta.. kwanza hajasema uongo hayo yote ni yakweli Diva kazidi utoto.. wema naye anatafuta pakuongezea tu baada ya movie yao na Diamond kupata break ya tangazo kidogo.
 
Hata Shigongo naye magazeti yake ni ya udaku tu na anatajirika hahaha wa muwache Sinta.. kwanza hajasema uongo hayo yote ni yakweli Diva kazidi utoto.. wema naye anatafuta pakuongezea tu baada ya movie yao na Diamond kupata break ya tangazo kidogo.

Uwiiiiiii kafungiwa kisa nini huyo devil
 
Uwiiiiiii kafungiwa kisa nini huyo devil

Hizo pumba zake anazo post huko insta kuwasema watu wa twitter tena marehemu kuna post kaifuta kamsema sana marehemu alafu anamalizia R.I.P wakammind wakamreport account yake ifungiwe akafungiwa kule.. huyu mdada jamani khaa
 
Hizo pumba zake anazo post huko insta kuwasema watu wa twitter tena marehemu kuna post kaifuta kamsema sana marehemu alafu anamalizia R.I.P wakammind wakamreport account yake ifungiwe akafungiwa kule.. huyu mdada jamani khaa

Kamsema marehemu yupiu nimwagie yote shoga wengine huko twita hatupoo
 
Kamsema marehemu yupiu nimwagie yote shoga wengine huko twita hatupoo

Huyo Betty aliyefariki juzi kuna uziwake hapo sijui jukwaa la siasa au hoja mchanganyiko kuna picha imewekwa ya maneno aliyo andika instagram alafu akayafuta..
 
Hamna kitu raha kama mwanaume ung'ang'aniwe na mwanamke maana yake anakupa kick ya kuwapata wengine.Nahisi Jamal Malinzi ana mtoto garasa anawaza kugegedwa kila dakika,kila anayemhoji akiwa jinsia yake tofauti anamtaka amgegede.

Mtoto wa nje wa Dioniz Malinzi huyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom