Picha: Birthday ya Le Mutuz

- ha! ha! ha! ha! ha! le mburulazzzz mnanivunja mbavu sana next month ninaangusha anaother big bash so stay tuned people okeeee!! hamna umri hapa kama huwezi haya mambo kaa pembeni okee!!

Le Mutuz!!

We mzee kuna siku nilikuona eatv ukiojiwa ulionekana kama mtu unayejielewe, kumbe ni BOGUS kabisa.
 
- HA! HA! HA! Mkuu sana zuzu mimi na wewe ni nani, mimi nalipwa kuwepo humu mitandaoni wewe hilipwi sasa amua mwenyewe zuzu ni nani hapa! ha! ha! ha! chezeya Le Big Show!!

Le Mutuz

unalipwa na nani we Le Zuzuz
 
Wewe lodilofa mi sihitaji social media kunitangaza ila nakushangaa kwanini humo kichwani hazimo wakati wewe ni mtu mzima. Pili ishu ya kuzikwa mimi hata mtu mmoja akinizika au wengi kwani nitawaona wakati nitakuwa mfu. We kweli akili simekufa kama unavyowaza msiba. Empty set kwelikweli wewe.
 
Hili jamaa ni boya! Yaan kwa umri wake ni wa kufanya bday party na mabinti ambao wanaweza kuwa binti zake? Very prematured SOB!
 

Mkuu nimelipenda jina la lodilofa maana linamfaa muhusika.
 
huyu mzee ana vituko balaa, hapa jumanne melecela alikula hasara

Hivi ni kweli W.J.Malecela ndiye anayeandika huo utumbo....au kuna mtu ame-hack acc yake anamuandikia? Mbona siamini asee!
 
mmmh!asante mungu kwa hichi nilicho nacho sikitafuti kwa kujitoa ufahamu au kusaka umaarufu japo kidogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…