Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni kama vile Shughuli imeisha jimbo la Ubungo, hii hapa ni kata ya Makuburi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
endelea kujipa matumainiAaaha hamna mbunge hapo
Hizo picha zilichukuliwa Mwanza mwaka 2015 - acheni kudanganya ummaCCM imekataliwa Karibu kila sehemu ya Bara na Visiwani
we mzee kwa umri ulionao sikudhani kama unaweza kuandika ugoro kiasi hiki !Hizo picha zilichukuliwa Mwanza mwaka 2015 - acheni kudanganya umma
T- shirts hizi zilikuwepo mwaka huo kwaniHizo picha zilichukuliwa Mwanza mwaka 2015 - acheni kudanganya umma
Umefanya utafiti au umeamua tu kuandikaCCM imekataliwa Karibu kila sehemu ya Bara na Visiwani
Ulitaka niandike kukusifia - huku kwenye siasa hutakaa usifiwewe mzee kwa umri ulionao sikudhani kama unaweza kuandika ugoro kiasi hiki !
Nabado kimbunga Cha kokoto lazima kiwangoe macho ,meno na masikio.Baada ya kusikia sauti ya zege anaenda kuongezea kimbunga nguvu,wakaharakisha vikwazo vyao ,kutoka kwa mbeleko tegemeo zaidi.Hizo picha zilichukuliwa Mwanza mwaka 2015 - acheni kudanganya umma
Halima anawatesa snNabado kimbunga Cha kokoto lazima kiwangoe macho ,meno na masikio.Baada ya kusikia sauti ya zege anaenda kuongezea kimbunga nguvu,wakaharakisha vikwazo vyao ,kutoka kwa mbeleko tegemeo zaidi.
Walicho kifanya ni sawa na walicho wafanyia Act like kusini.Halima anawatesa sn
Uneona tweet ya kile kibabu Humphrey slow slow kule twitter?? Kikamalizia likes kwa Magufuli, retweet kwa Lissu, mwisho wa siku hao hao followers wake wakamuonesha Lissu ni nani! Retweets zimekuwa maelfu halafu likes za jiwe hata buku hazijafika!Ni kama vile Shughuli imeisha jimbo la Ubungo, hii hapa ni kata ya Makuburi.
View attachment 1597341View attachment 1597343View attachment 1597344View attachment 1597345
Nilikuwa riverside kukawa na kampeni ya chama kimoja fulani Watu waliuliza viwanda vya urafiki vimekufa na fishnet sijui cha maxiwa vijana hawana kazi ielezwe ni sababu gani na matarajio ya baadae ni yapi.HUYU nk mgombea udiwani hakuweza kujibu.CCM imekataliwa Karibu kila sehemu ya Bara na Visiwani