Mimi niko hata Geita na nilikuwa CCM kabla ya kukihama chama Nina watu wengi ndani ya CCM na tunawasiliana kila siku kupeana michapo ya jinsi Meli inavyozamaUmefanya utafiti au umeamua tu kuandika
π€£ π€£ π€£ rusha za Profesa Mkumbo akiwa MabiboAaaha hamna mbunge hapo
Erithrocyte mkumbusheni Boniface Jacob aongeze seriousness kidogo kwenye jimbo la Ubungo.Ni kama vile Shughuli imeisha jimbo la Ubungo, hii hapa ni kata ya Makuburi.
we mzee unatia aibu kazi unayoweza ni kukaa kwenye viti vya baa maeneo XHizo picha zilichukuliwa Mwanza mwaka 2015 - acheni kudanganya umma
Ushauri umepokelewaErithrocyte mkumbusheni Boniface Jacob aongeze seriousness kidogo kwenye jimbo la Ubungo.
Akilegeza tutalipoteza kwa uzembe wake mwenyewe.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Sasa ndio nn icho, nikajua boonge la nyomiNi kama vile Shughuli imeisha jimbo la Ubungo, hii hapa ni kata ya Makuburi.
Jah bless, I and INi kama vile Shughuli imeisha jimbo la Ubungo, hii hapa ni kata ya Makuburi.
Eti katikisa? ππHata watoto wameruhusiwa kushiriki shughuli za kampeni za uchaguzi?Leo pale Kinyerezi DSM nimewashuhudia watoto wadogo wakiwa jukwaani na wasanii,Mh.Mgombea wa CCM alipanda jukwaani na kucheza nao/kuwatuza.Je,sheria inawaruhusu kushiriki mambo hayo kabla ya hata kujadili suala la kwa nini hawapo shule ilhali leo ni Jumatatu?Kimaadili hili ilmekaaje?
Hizi kampeni za watawala kila siku zinasababisha sana uvunjifu wa maadili na Katiba/sheria za nchi ila hatua hazichukuliwi ipasavyo,kuna wagombea kama haki ingekuwepo walistahili kuenguliwa kwenye kinyang'anyiro kitambo sana.Watanzania inabidi tupige kura za kimbunga ili wezi washindwe kuiba kura zetu,tuzilinde na tutangaziwe washindi halali tu,Amen.