Huenda analia kuwa kwenda huko kuomba kura 2010 itakuwa mbinde kwani kutegemea nafasi ya viti maalumu ni ishu. Kumbe ni ALUMNI wa Zingibari!
Labda machozi yalimtoka kwa sababu: (1) Kura 2010 (2) Kuumia nafsi kuwa amekaa mbali na wanakijiji wenzie, jamii na marafiki hata kupata aibu ya kupita kiasi.
Lakini, hii ndio shule pekee yenye hali hii? yeye kama naibu mwenye dhamana ya wizara husika anatakwimu zinazoonyesha hali ya makazi ya wanafunzi katika taasisi mbalimbali za elimu zilizopo chini yake? Huyu analia kisiasa, wakati nia yao ni kuona wananchi wanabaki hivyo wasije kujua mbele wala nyuma, wasiwe na umeme, TV wala uwezo wa kununua magazeti ili wasije kujua ukweli wakawanyima kura (nukuu: Mkuchika)!
Profile yake!
Salutation: Honourable
First Name: Mwantumu
Middle Name: Bakari
Last Name:Mahiza
Member Type:Special Seat
Constituent:No Constituency
Political Party:CHAMA CHA MAPINDUZI
Office Location:P.O.Box 9121, Dar es Salaam
EDUCATIONS School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Chang'ombe Teaching Training College Diploma 1986-1987 DIPLOMA
Korogwe Teaching Training College Certificate 1971- 1972 CERTIFICATE
University of Oslo - Norway Teaching Course 1990- 1990 DIPLOMA
Jerusalem College - Israel Curriculum Development Course 1997 - 1997 DIPLOMA
Beit Bel Teaching College - Israel Teaching College 1999- 1999 DIPLOMA
EDEPA University College - New Delhi, India Diploma in Teaching, Admin & Management 2000 -2000 DIPLOMA
Korogwe Secondary Secondary School Secondary Education 1967- 1970 SECONDARY
Zingibari Primary School Primary Education 1962-1966 CERTIFICATE