Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very soon wataanza kuongelea mafanikio ya awamu ya tanoNilikuwa naangalia safari chanel Tanzania, naona matumizi yake yameanza kubadilika, sijui ni kukosa ubunifu au kukosa vipindi
Leo walikuwa wanaongea mambo ya mega watt na kilowatt tu [emoji23]
Sio mambo ya mbuga zetu au Beach zetu
Tz tunauhaba w wabunifu,, kuna kipindi kmoja cha wabarbaig uwa kinarudiwa kwa miez sasa icho icho tuuuuuu adi kinachosha,, sijui wAmeshachoka kutmbeoea maeneo mengine wakat kun hifadhi nyingi sana tena sanA sijui wanayumba wipi
Tatizo sio kukosa wabunufu... wabunifu wapo sana sema hakuna maslah.... unapeleka idea/kaz yako ila hawalipi ipasavyo kiasi kwamba watu inabidi wawapimie ubunifu kulingana na malipo yao....Tz tunauhaba w wabunifu,, kuna kipindi kmoja cha wabarbaig uwa kinarudiwa kwa miez sasa icho icho tuuuuuu adi kinachosha,, sijui wAmeshachoka kutmbeoea maeneo mengine wakat kun hifadhi nyingi sana tena sanA sijui wanayumba wipi
Hiii ni chanel iliyokosa ubunifu. Unashangaa kipindi kimoja watakirudia kila weekNilikuwa naangalia safari chanel Tanzania, naona matumizi yake yameanza kubadilika, sijui ni kukosa ubunifu au kukosa vipindi
Leo walikuwa wanaongea mambo ya mega watt na kilowatt tu [emoji23]
Sio mambo ya mbuga zetu au Beach zetu
Wabunifu tupo, ilukipeleka wazo Kama si kuacha kulitumia litabebwaTz tunauhaba w wabunifu,, kuna kipindi kmoja cha wabarbaig uwa kinarudiwa kwa miez sasa icho icho tuuuuuu adi kinachosha,, sijui wAmeshachoka kutmbeoea maeneo mengine wakat kun hifadhi nyingi sana tena sanA sijui wanayumba wipi
Ha haha haaa Nchi hii tunakwama sanaNilikuwa naangalia safari chanel Tanzania, naona matumizi yake yameanza kubadilika, sijui ni kukosa ubunifu au kukosa vipindi
Leo walikuwa wanaongea mambo ya mega watt na kilowatt tu [emoji23]
Sio mambo ya mbuga zetu au Beach zetu
View attachment 1511064
Nimecheka sana nahii haiko mbaliVery soon wataanza kuongelea mafanikio ya awamu ya tano
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mie nilikua mpenzi sana wa hy chanel ila ss hv kiukwel nishindwa kuielewa nadhani walioianzisha hawakua serious ndio maana wanaanza kuingiza matangazo mengine ambayo kimsingi hayaendani na chanel husika ss hilo swala la Megawati za umeme ingetakiwa waandae ki pindi TBC ndio warushe hy matangazo sio kwny hii chanel halafu hilo swala la hao wadatoga au wabarbaigi kiukwel ht mimi washanichosha sana ukiwasha Tv lazima ukutane na wadatoga ss cjui km ni lengo la kuanzishwa kw hii chanel au wametoka kwny misingi yake na tunakoelekea tusishangae kuona matangazo ya kisiasa yakirushwa humu wahusika wajitathimini km hili swala liko sawa sawa vinginevyo waiondoe baadae wakishaji pa nga ndio wairudishe tena hewan vinginevyo itakosa watazamajiCD Yao ni Ile Ile tangu hii chanel imezinduliwa