PICHA: Cheti cha chanjo dhidi ya pandemic kipindi cha utawala wa Sultan Abdulhamid II wa Ottman mwaka 1908/1326 AH

Huo ugonjwa ulikuwa hauchagui
Ukiambukizwa unakufa
 
Hapa hatuangalii nani alichanjwa, nani kachanjwa, nani atachanjwa.

Watu wanataka kujua chanjo itawasaidia nn, kuingia ulaya na Amerika? Au kuwakinga na ugonjwa wenyewe.
 
Niuzie mimi 20,000/= nijibu.
 
Namaanisha waliogomea ARV na PEP tulishawazika kitambo sana,
Sawa, lakini waliopata hiyo PEP na ARV, hawakupata madhara yoyote yatokanayo na hizo dawa... Chanjo ya korona si umesikia ishu za kuganda kwa damu? Umesikia ishu za chanjo mpaka ifikie kutumika inapita majaribio mangapi na muda gani?
 
Sawa, lakini waliopata hiyo PEP na ARV, hawakupata madhara yoyote yatokanayo na hizo dawa... Chanjo ya korona si umesikia ishu za kuganda kwa damu? Umesikia ishu za chanjo mpaka ifikie kutumika inapita majaribio mangapi na muda gani?
Nani kakwambia ARV hazina madhara
 
Au cocacola ile iliopo dunia nzima
Ile formula ya coca wanaoijua hawazidi watu kumi kampuni nzima na kinachokuja huku ni contena la unga unga tu ambao kazi yetu ni kumix na maji ili itokee soda
 
Sawa, lakini waliopata hiyo PEP na ARV, hawakupata madhara yoyote yatokanayo na hizo dawa... Chanjo ya korona si umesikia ishu za kuganda kwa damu? Umesikia ishu za chanjo mpaka ifikie kutumika inapita majaribio mangapi na muda gani?
Waulize waliokunywa PEP unaota hadi uko kwenye jeneza,mara unakumbizwa,tumbo kuuma,njaa,kizunguzungu,kutosikia harufu
 
Ni wajinga tu.mtoto mpaka akue anaenda kuchanjwa clinic mara tano wanajua kilichomo?au hiyo pepsi unayokunywa unajua formula yake?
Kuna wajinga walipewa madaraka na mwendazake walituaminisha kwa taratibu za kisayansi na kitamaduni ikaaminika na matokeo yakawa bora.ni wajinga hao hao madarkani wanatuambia tofauti bila kutupa fact tuelewe nini kimebadilika
Lakini hata Kama tunataka kuchanja tudozii milioni makelele kibao walete za Aina tofauti.wasituletr walizokataa wamarekani
 
Wapi napata chanjo Zanzibar ?
Mimi nipo tayari kuchanja na familia yangu.
Hivi ni Bure au kuna malipo?
naomba Msaada

pls Call or Whatsapp at this No.
773031227
 
Kilichomo ndani ya chanjo ndio kinawatia wasiwasi wachanjwaji
Kipi kilichomo ndani ya chanjo?! Na hicho kilichomo ndani ya chanjo ina maana kipo kwenye chanjo ya corona peke yake?! Hizo chanjo zingine huwa mnahoji kuhusu kilichomo ndani yake?!
 
Hamna mnachoamini, the so-called mnachoamini ni matunda ya kujazwa ujinga tu!
 
Sawa, lakini waliopata hiyo PEP na ARV, hawakupata madhara yoyote yatokanayo na hizo dawa... Chanjo ya korona si umesikia ishu za kuganda kwa damu? Umesikia ishu za chanjo mpaka ifikie kutumika inapita majaribio mangapi na muda gani?
Hivi suala la side effects kwenye medical world ni jambo la ajabu?! Ulishachunguza kuona ni asilimia ngapi wanaopata hizo side effects?!
 
Mnisamehe bure Mimi ninachowaza soon after injection of this notable vaccine ni kwamba: Reverse transcription under reverse transcriptase enzyme into Okazaki fragments double helix replication I don't know if zipping and unzipping of DNA helicase is involved, am even not sure if protein synthesis will take place in presence of protease inhibitor sasa yooye haya yakichanganyika na ribulose biphosphate sijui na dehydrohalogenation of alkyl halide under Restricteda rumbwegesiensis navuruuugwa naombeni msaada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…