Picha: Daktari wa ‘MOI’ muhimbili na nesi wake mbaroni kwa rushwa

Lakini hawa Takukuru mie binafsi naona waganga njaa tu hata siku moja hawajawahi kumkamata kigogo yoyote zaidi ya kuwaonea mahakimu na watu kama hawa ambao hawana nguvu za kiuchumi.

Ritz unamaana gani? Vavanua kwanza ! Ha ha ha aaaaaaaa
 
Alitaka pesa ndefu mno mbona polisi wanakula buku 10 10 tu
 
Duu!!! au ndio wanafidia madai yao....Tanzania kila sehemu rushwa tu sijui tutakimbilia wapi.
Ritz waeleze maboss wako unaowapigia debe kila siku waqlipe mishahara inayotoshereza.
 
Hawa si ndo mlikuwa mnadai wanagoma kupigania wagonjwa wapate ST SCAN?
 
Afadhali aliyeomba rushwa kuponya maisha ya mtu!yapo majangiri,manasiasa yanayoomba rushwa ili kuangamiza maisha ya maelfu!pole dada..umekuwa kafala!

Taahira wewe!!
Kuomba rushwa ni kuua maisha ya mtu na si kuyaponya,we vipi?
 
Mkuu mleta Mada naomba uifanyie labda marekebisho kidogo maelezo yaliyopo chini ya picha.
Mimi simuoni nurse Petro hapo bali ni Daktari Deodata.
Au wenzangu mnisaidie huenda nina matatizo ya macho.
 
Takukuru ni tume huru ama wanateuliwa?


Lakini hawa Takukuru mie binafsi naona waganga njaa tu hata siku moja hawajawahi kumkamata kigogo yoyote zaidi ya kuwaonea mahakimu na watu kama hawa ambao hawana nguvu za kiuchumi.
 
Mackini weee imekula kwao hapo kazi ndo kwishnneyyy!!
 
Afadhali aliyeomba rushwa kuponya maisha ya mtu!yapo majangiri,manasiasa yanayoomba rushwa ili kuangamiza maisha ya maelfu!pole dada..umekuwa kafala!

.
Hakuna afadhali hapo wote ni weusi. Unafikiri kama mgonjwa asipoipata rushwa nini kinachotokea ila kukubaliana na hukumu ya kifo aliyopewa kwa kutotibiwa?
.
 
leo umeamkia upande gani wa kitanda Ritz
naona umetoa point.kazi kweu sasa chama chenu kukaatana wenyewe kwa wenyewe wala rushwa sijui nani atabaki kwani katika chaguzi zenu wote wameshinda kwa rushwa
madaktari njaa maisha duni waongezeni mishahara ingawa huyu nae kakiuka maadili ya kazi yake

Lakini hawa Takukuru mie binafsi naona waganga njaa tu hata siku moja hawajawahi kumkamata kigogo yoyote zaidi ya kuwaonea mahakimu na watu kama hawa ambao hawana nguvu za kiuchumi.
 
Huyo mgonjwa angeenda kupasuliwa India angetumia zaidi ya hela ya rushwa aliyoombwa. Samahani watu wa Takukuru, naongea tu msije mkanitembelea :becky:
 
Naona yametajwa majina ya daktari na nesi, mbona hamjatuambia jina la huyo afisa wa Takukuru!? :becky::becky::becky::becky:
 
Kama kungekuwa na uongozi yakinifu katika ngazi zote tungeishi kwa raha bila karaha
 
Lakini hawa Takukuru mie binafsi naona waganga njaa tu hata siku moja hawajawahi kumkamata kigogo yoyote zaidi ya kuwaonea mahakimu na watu kama hawa ambao hawana nguvu za kiuchumi.

Rational thinking..hujawatetea mafisadi.
 
Nashindwa kuelewa kwanini watu wote mnampa pole huyu daktari na nesi!! Ni kwa vile picha imewavutia au na nyinyi ndio wale wale mnaoishi kwa kula rushwa ati mkiziita rushwa ndogondogo? Tusiwe na double standards hata na sisi raia. Let us call a spade a spade. We can never change if we do not define what is bad. It should not matter what is big or what is small, bad is bad basi.

Imagine wewe ndio ungekuwa umepata ajali unapelekwa hospitalini halafu mtu alieapa kukutibia mbele za mungu na wanadamu anakumabia bila milioni moja utabakia kulala tu hapo kitandani? Hawa watoa huduma za afya lazima wawe binadamu otherwise waachie ngazi wakatafute hizo pesa kwingine sio at the expense of people's health and lives!!

Hate if you want but they have gone too far!!
 
hivi unafahamu ni asilimia ngapi ya watu wanaokufa au kukosa matibabu kwa sababu ya kukosa hela ya rushwa???????? Ungeyajua hayo ungewadharau sana madaktari wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…