Picha: Daktari wa ‘MOI’ muhimbili na nesi wake mbaroni kwa rushwa

Yaani dokta kasomeshwa na kodi za masikini, hospital ya serikali, dawa na vitanda vyote vya serikali. BADO ANATAKA MILIONI YA MTU ALIYEVUNJIKA MGONGO.......madokta hivi mnaamini kuna Mungu .
 
Hivi ma dokta kwa utaratibu huu mmeua watu wangapi? Kweli nimeamini sometimes jk wanamuonea
 
Kwenye hili wala hautasikia tamko toka kwa TGNP,Mama Ananilea Nkya au Kijo Bisimba! Shame on you Doctors! Ndiyo nyie mnaotaka kuongezewa mishahara kufikia mil 3?
 
dada mzuri kweli lakini pesa mbele. hii ni aibu kubwa sana kwa fani ya uuguzi
Never presume her guilty until found guilty by a competent court of law.
 
hakuna tufauti kati ya huyu daktari/nesi na Chenge. tz kweli imeoza .. kuanzia wanasiasa hadi watumishi waserikali wa secta zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…