Alikuwa anaiponda bongo flavor vbaya mno!mzee ngurumo anaimba bongo fleva?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anaiponda bongo flavor vbaya mno!mzee ngurumo anaimba bongo fleva?
Alikuwa anaiponda bongo flavor vbaya mno!
Ay anahusika vipi?
mnh! kikohozi na kuhagi wapi na wapi; si mwanzo wa kuleteana kichomi huko!
Hivi huwa unaelewa unachoandika?
prince wa bongo flavour au ulitaka kumaanusha nini?
kama mnajitapa kuwa hana mpinzani Leo unaposema ye prince king ni nani?
silly.
Ndo maana hata mimi niliamua kupokea full upake ili niaminike kwa totoz za ukweli!Huyu ana upako kwa Imani ntapona...
Hapa ndipo ninapompendea huyu dogo..Tukubali tu Diamond anafanya vizuri.
Safi kijana.